Kikwete aendeleza dharau na dhihaka kwa Watanzania!

Mbona weak leaks imefichua kuwa yeye ndiyo kikwazo cha kuwashughulijkia wala rushwa kwa sabababu yeye mwenyewe ana maslahi pamoja na wezi wa nchi?..............udanganyifu huu wa kikwete na mafisadi wake unalenga nini?...............kweli kikwete rais legheleghe anapwaya sana kwa sababu hawezi kusimamia kile anachokisema na ndio maana hata kauli mbiu yake ya uongozi ya maisha bora kwa kila mtz hawezi kuisema tena kwani anajua alikuwa anaadanganya tu watz
Waongo
 
Back
Top Bottom