Msimamo wako haueleweki. Kumbuka muda mfupi uliopita kuna mahali umetoka kuandika hivi:
Koma kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yo JK hafai haijapata kutokea Raisi aliyeshindwa kuongoza nchi kama huyu embu usitufanye tuje tupasuke mioyo
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
hahaaa mweee ...asante Mwiba kwa kunichekesha leo ...mungu akupe maisha marefu uelendelee kutuchekesha hivi hivi
Ndio maana ukikosekana hapa ninakumiss sana Mwiba, post zako zina akili sana
..WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
Naamini kabisa huyu jamaa anamuelekeo wa kuifikisha Tanzania pale inapotaka kwenda,utendaji wake na serikali uliopo hivi sasa inaonekana ulichelewa ,lakini kasi ya maendeleo ambayo inaonekana kila pembe ya Tz ni wazi kuwa Tanzania imepata kiongozi mwenye upendo na wananchi wake.
WaTanzania hawana budi kumpa tena muhula wa uongozi kwa miaka kumi mingine.Huku tukisubiri Katiba mpya au Tanganyika mpya.
Makelele yenu mengi kama mnashangilia mpira tena ule wa kupitia redioni uliokuwa ukitangazwa kwenye idhaa ya biashara ya redio Tanzania anao anao goooal,wengi mmezaliwa juzi juzi hamuifahamu hio redio ,amini usiamini hapa JF kuna watu hawaijui senti tano ,ile ya nduaro.
Sielewi kile mnachokipinga kwa JK ,kama ni matatizo mbona yapo mengi tu kwa wengine ,hivi huko kwenye vyama vyenu hakuna matatizo ? Yaani Nyinyi mnaona mkiipata hiiNchi maisha mtayafanya yawe laini kama siagi ,mtapandisha mishahara siku tu mkiingia Ikulu ,hivi mnaota au mshakufa ?
Maendeleo ya JK kwa sasa yapo wazi kabisa ,hivi CCM ianzie tokea Tanu na ASP huko,wameiendesha Nchi hii kutoka kwenye shida na dhiki hadi leo wanaanza kuchimba mafuta na gesi ,itakuwa kosa kubwa sana kwa CCM kuziacha juhudi zake kwa wengine , Ukiangali JK ameweza na amewezesha karibuni itakuwa kila mtu ,WaTz wa leo ni matajiri kila mmoja anamiliki kajisimu cha mobile japo kimeo ,kinaitaji hela au sio ,unakakuta kapofull credit akiitajivocha.
Wengi tu sasa wanamiliki bodaboda na vyombo vya moto vya miguu miwili au mitatu vibajaji, kesho na kesho kutwa kila nyumba itakuwa na gari ndogo nje ,haya yote yamefumka katika kipindi kifupi cha JK.
Ikiwa wewe huoni kama hayo ni maendeleo basi utakuwa maiti inayotembea.