Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 86
Ndugu zetu Tanganyika kwa mika mingi hamkutaka kukisikia kilio cha ndugu zenu wa Zanzibari,mlikuwa mnawakejeli pale dola linapowatesa na kuto watendea haki ,leo ndugu zetu mmebaini na kuelewa hadaa na ulahai wa vingozi , kwa kiasi fulani naweza kusema kinachotendeka bara ni robo tu ya machungu tunayoishi nayo huku zanzibar .Mabadiliko ya upande wowote katika jamuhuri ya mungano wa TANZANIA ndio utakuwa mwanzo wa Maendelo nakuondokana na mawazo finyu tunayo bambikizwa na viongozi.
(hakika ya vitamu vinasumu ndani yake)
(hakika ya vitamu vinasumu ndani yake)