Suala la kutoa elimu ni kupoteza muda. Tume ya Jaji Warioba ilifanya kazi hiyo

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Ni wazi kuwa CCM haitaki katiba mpya. Magufuli alipoingia madarakani alisema katiba sio kipaumbele cha CCM. Rais SSMIA kaja na kikosi kazi na kutoa elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3, muda ambao ni mrefu sana.

Zoezi ambalo Tume ya Warioba ilitoa elimu ya katiba nchi nzima ikiwa ni pamoja na kugawa nakala za katiba na vipeperushi. Kwa wananchi, ukweli lazima usemwe. CCM haitaki katiba mpya, ndio kila rais anakuja na jipya.

masoudkipanya_1682062732249411.jpg
 
CCM Oyeeeee😃😃😃

Hata wakileta katiba mpya bado na amini itakua na mambo yale yale tu.

NB: Dawa ya sisiem ni kuiondoa kabisa madarakani, katiba haitasaidia.
 
Ni WAZI kuwa CCM haitaki KATIBA MPYA.MAGUFULI alipoingia Madarakani alisema KATIBA SIO KIPAUMBELE cha CCM
Rais SSMIA kaja na KIKOSI KAZI na KUTOA Elimu ya KATIBA kwa Wananchi kwa MIAKA 3 Muda ambao ni MREFU SANA ZOEZI ambalo TUME ya WARIOBA ilitoa ELIMU ya KATIBA Nchi NZIMA ikiwa ni pamoja na KUGAWA Nakala za KATIBA na VIPEPERUSHI
Kwa WANANCHI Ukweli LAZIMA usemwe CCM HAITAKI KATIBA MPYA ndio KILA RAIS anakuja na JIPYAView attachment 2747292
Ukweli mtupu
 
Katiba bora ikiundwa CCM inaondoka asubuhi na mapema.

CCM ni kama kondoo wa kafara tunayemtaka anjinolee kisu cha kuja kumkayakata ili apikwe supu. Unadhani kondoo huyu atakubali?
 
'…hii Nchi ni yetu sote na sote yuna haki sawa, hakuna cha Waraka wala hati miliki ya kujiona wewe unachosema ndio sheria '
 
Katiba bora ikiundwa ccm inaondoka asubuhi na mapema.

Ccm ni kama kondoo wa kafara tunayemtaka anjinolee kisu cha kuja kumkayakata ili apikwe supu. Unadhani kondoo huyu atakubali? I
Kama mnataka Katiba mpya ili muitoe CCM na mnategemea CCM italeta Katiba mpya ikijua malengo yenu basi inabidi mpimwe afya ya akili
 
Nchi hii pesa zinatumika vibaya, eti nayeye anaunda kikosi kazi, yaani we acha tu, kuenda kutoa elimu kwa wananchi hee miaka kazaa tu tume ilizunguka kuchukua maaoni nchi nzima halafu eti wamesha sahau, du yani mabilioni yote ya tume ile ni kama warkdone = 0, nasasa mabilion mengine hayooo. Ila kwenye kununua madawati ya wanafunzi eti Serikali haina uwezo.
 
We Subiri 3 yrs.....Watu Wapatiwe 'Ilmu' ya Katiba..!

Na 'Ilmu' ikishatolewa tutapima ..Je Wameelewa?

Bibi Kule Kantalamba Na Namanyele Ameelewa.?

Kama bado tutasubiri tamko....!

Acha Kuwashwa Washwa.

Watu Wala Hatuna Haraka na Katiba....!

Nia ya Katiba mpya tunayo...

Sababu ya Katiba mpya tunayo...

Tatizo hapa ni Kwamba hatuna Haraka....!

Haya Mapambano ya Katiba yataendelezwa na Wajukuu Zetu....Inshalaaa Mungu Atasaidia...!
 
Hawa Viongozi wa TANU na AFROSHIRAZI utasema wanahatimiliki ya kuitawala Nchi hii.
 
Kinachatakiwa kuondoka kwanza ni CCM.
Baada ya hapo ndio itengenezwe katiba mpya.
 
Hakika

Wanataka kututawala milele bila ridhaa yetu!
Miaka kumi ni mingi sana
kijana aliekuwa na miaka minane wakati Tume ya Warioba inatoa elimu hiyo sasa hivi ni mtu mzima nae anahitaji kuelimishwa

hakuna haja ya kukimbizana na kuilipua lipua Katiba mpya.

sababu za Wapinzani kukataa Kikwete asimalizie mchakato wa Katiba mpya wakati ilibaki kupiga kura tu ilikuwa nini? tulikubaliana Jk asipewe legacy ya kuanza na kukamilisha Katiba mpya.

Mchakato wa Katiba mpya uanze na Rais wa 7, huyu wa sita amalize miradi ya kimkakati ya Mzalendo John Magufuli
 
Ni wazi kuwa CCM haitaki katiba mpya. Magufuli alipoingia madarakani alisema katiba sio kipaumbele cha CCM. Rais SSMIA kaja na kikosi kazi na kutoa elimu ya katiba kwa wananchi kwa miaka 3, muda ambao ni mrefu sana.

Zoezi ambalo Tume ya Warioba ilitoa elimu ya katiba nchi nzima ikiwa ni pamoja na kugawa nakala za katiba na vipeperushi. Kwa wananchi, ukweli lazima usemwe. CCM haitaki katiba mpya, ndio kila rais anakuja na jipya.

View attachment 2747292
Hanakanyaga katiba, tumpe mahuha yake mehupe kama Hunga wa mayindi
 
Back
Top Bottom