Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 851
- 1,406
ogopa sana baruti ya kichwa cha plug, kuna madogo mwaka jana walikuwa wanailipua nilikuwa nacheka sana.kumbe bado IPO sisi enzi kuna mzee alikuwa anaitwa malendeja alikuwa na gobole tulikuwa tunamvizia kalewa tunamuibia ile baruti tunaenda kufanya yetu kitaa na tulikuwa tunatumia kichwa cha plug
Mkuu... Mzee alinusurika kuuawa na mimo kwa presha kisa hichi kitu...
ogopa sana baruti ya kichwa cha plug, kuna madogo mwaka jana walikuwa wanailipua nilikuwa nacheka sana.
Maana mzee wangu alikuwa anajua ni mabomu, ana mind sana 'watoto wa mtaa huu washenzi sana" yaani nilikuwa natamani muda wote walipue kumpa mzee kashikashi maana ni mkoloni sana