GE2025 Kikosi cha 830 JKT Kibiti Kimefanya Mazoezi ya Pamoja na Vyombo vya Usalama Rufiji

GE2025 Kikosi cha 830 JKT Kibiti Kimefanya Mazoezi ya Pamoja na Vyombo vya Usalama Rufiji

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Kikosi cha 830 JKT Kibiti, Kanali Mohamed Mruma akiwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Mwampashe ambaye ni Kaimu Operesheni Ofisa wameongoza mazoezi ya pamoja ya vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa kufanya matembezi ya ukakamavu katika barabara kuu ya Kilwa - Dar es Salaam.

Matembezi hayo ni mwendelezo wa ushirikiano na mshikamano kwa vyombo vya ulinzi vilivyopo katika Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa kufanya mazoezi ya matembezi ya pamoja.

1760174863679.jpeg


1760174874289.jpeg
 
Dah nimeon
Kikosi cha 830 JKT Kibiti, Kanali Mohamed Mruma akiwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Mwampashe ambaye ni Kaimu Operesheni Ofisa wameongoza mazoezi ya pamoja ya vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa kufanya matembezi ya ukakamavu katika barabara kuu ya Kilwa - Dar es Salaam.

Matembezi hayo ni mwendelezo wa ushirikiano na mshikamano kwa vyombo vya ulinzi vilivyopo katika Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa kufanya mazoezi ya matembezi ya pamoja.

Dah nimeona kuna Ma Police wa Kike wanamatako makubwa inabidi niende kibiti
 
Naona siku hizi wanapikika chungu kimoja.
Ila nimeona pisi hapo ya ukweli
 
Lini wanaanza mazoezi ya utayari kukamata watekaji, majizi na mafisadi?
 
Kama kapteni Tesha hakuwepo kwenye hayo mazoezi, basi Hilo siyo jeshi bali ni kikundi cha jogging.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa wao na mali zao tupo nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua

Share na mwenzako
 
Kwamba mazoezi ya watu ambao kazi yao ni mazoezi kila siku sasa yamekuwa habari
 
Shda ya hivi vyombo sjui vikundi vya ulinzi vya tz viongozi mengi ni majitu ya ccm yakshastaafu yanapewa au kugombea vyeo ccm hakuna jipya....
 
Back
Top Bottom