Na kwa jinsi mahakama zetu zilivyo usishangae kuambiwa ushahidi upande wa mlalamikaji haukuweza kumtia hatiani mtuhumiwaDunia sijui imevaa nini wajameni??
kijana wa miaka 32 ambaka bibi mwenye miaka 84 halo news: 84 Year Old Lady has been subjected to a boy Year 32
Mbona wadad wapo wengi tu?? Au ndo kutafuta mali huko??Raana tu..
Ni heri ufe tu;Yeuwiiiiiiiiie auwiiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiii jaman nife au nibaki. Yeuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiieeeee
Lugha gani hiyo tena wakuu?Ni heri ufe tu;
Wandelya wakekuyo.
Haya kwaherini wana JF, AuwiiiiiiieNi heri ufe tu;
Wandelya wakekuyo.
Siye wageni hata hatuelewiHaya kwaherini wana JF, Auwiiiiiiie
Warimu wamsumbwaNi heri ufe tu;
Wandelya wakekuyo.
Akili ziko likizo, hakika hatutaponaIbilisi katika ubora wake! Katutupa kwenye giza totoro,tunapuyanga hovyo huku akili muda mwingi ikiwa likizo.
Tunaomba msaada wa MunguAkili ziko likizo, hakika hatutapona