Kikokotoo kupatiwa majibu leo

Inawezekana kampa maelekezo mkuu
Huwezi kumpa maelekezo mtu mwingine kwa jambo zito kama hilo, hakuna utaratibu huo.

Kwanza Makamu wa Rais anakaimu madaraka ya Urais kama Rais hayupo, je huyu mama yuko wapi? Na may day ipo kwenye kalenda inajurikana wazi ni siku fulani.
 
Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo.
IMG-20240501-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom