Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
[h=6]Wadau wote kutoka Lindi na Mtwara anayeguswa na maendeleo ya watu wetu ningeomba tukutane jumapili tar 24th July 2011 saa 8 mchana pale Mlimani city. Naamini mna nia njema na mmejihamasisha vya kutosha kujua kuwa ni wakati wa ku-take action badala ya maneno matupu. Naomba tuwahamasishe wengine na kila mmoja aje na watu wengine ili tuandike kurasa mpya ya maendeleo ya kusini. Namba yangu(Geoff Mwambe) ni 0655 509891 na 0784 509891.[/h]
Wote wapenda maendeleo mnakaribishwa
Wote wapenda maendeleo mnakaribishwa