PreGE2025 Kikao cha watia nia CHADEMA Ikungi-Singida chavunjika, vurugu zarindima

PreGE2025 Kikao cha watia nia CHADEMA Ikungi-Singida chavunjika, vurugu zarindima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
319
Reaction score
755
Kikao cha watia nia CHADEMA kimevunjika baada ya mmoja wao kunaswa akirekodi kwa siri.

Vurugu zikaibuka, wajumbe wakarushiana viti na kushambuliana, hali iliyosababisha damu kumwagika.

Taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa mtu mmoja amepoteza maisha. Ikungi singida.


 
Kikao cha watia nia CHADEMA kimevunjika baada ya mmoja wao kunaswa akirekodi kwa siri.

Vurugu zikaibuka, wajumbe wakarushiana viti na kushambuliana, hali iliyosababisha damu kumwagika.

Taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa mtu mmoja amepoteza maisha. Ikungi singida
CCM wanajaribu kupenyeza mamluki wao ndani ya chama, lazima waumbuliwe
 
Kikao cha watia nia CHADEMA kimevunjika baada ya mmoja wao kunaswa akirekodi kwa siri.

Vurugu zikaibuka, wajumbe wakarushiana viti na kushambuliana, hali iliyosababisha damu kumwagika.

Taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa mtu mmoja amepoteza maisha. Ikungi singida
Hadi 2030 ni miaka ya kupiga hela kweli kweli kusuka michongo ya maana--- aisee nchi ishakua soko huru
 
Wale wanaotumwa na ccm kama ma informer nawashauri ni bora wajitoe wenyewe ktk harakati za chadema
ni ushauri mzuri kwao
Kwani ku record kuna shida gani? Mnaficha nini? Lisu mwenyewe anasema chama kiendeshwe kwa uwazi

Hamtaki uwazi ?
 
Kwani ku record kuna shida gani? Mnaficha nini? Lisu mwenyewe anasema chama kiendeshwe kwa uwazi

Hamtaki uwazi ?
Hata aliye-rekodi karekodi kwa kificho. Kanuni zitakuwa zimekiukwa tu
 
Back
Top Bottom