Wadau Nina swali. Leo mkuu wa kitengo katuma sms whaatsap kuwa kutakuwa na kikao ila kwa ambao hawajahudhuria ametoa amri waandikiwe barua ya onyo. Je ni sahihi
Inategemea upo ofisi gani na mode of communication ya ofisi yako ipoje. Kama whatsapp group ya ofisi ndio agreed mode of communication ni sahihi kabisa ila kama communication mnafanya kwa internal memo haitakua sawa ni uonevu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.