Kikao cha wafanyakazi

Kikao cha wafanyakazi

wadadawanne

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
119
Reaction score
24
Wadau Nina swali. Leo mkuu wa kitengo katuma sms whaatsap kuwa kutakuwa na kikao ila kwa ambao hawajahudhuria ametoa amri waandikiwe barua ya onyo. Je ni sahihi
 
Inategemea upo ofisi gani na mode of communication ya ofisi yako ipoje. Kama whatsapp group ya ofisi ndio agreed mode of communication ni sahihi kabisa ila kama communication mnafanya kwa internal memo haitakua sawa ni uonevu
 
Back
Top Bottom