cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 350
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.
waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.
point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.
Kwanini wengine hawalioni hili.
Kumbuka ni mkakati wa chama kupambana na magamba.Halafu fahamu kwamba chama kama CDM hakina fedha za kutosha kuendesha chama,hivyo ni vizuri ile hela igawanywe kidogo katika kanda ili isaidie kuwafuata wananchi hadi vijijini.Yaani hapo ni kwamba adui ameanza kupigwa toka chini,unapofika katikati ,ni kumalizia tu,kwani unakuwa uliishamzunguka siku nyingi.Mkakati huu ukisimamiwa vizuri 2015, CCM watakua hoi hoi bin taabani.