Kikao cha kamati ya uratibu wa kanda na uzinduzi wa kanda ya kaskazini

Mkuu chama,

Makamanda wanajichanganya wenyewe kwa wenyewe.

Mbowe mwenye chama anasema kanda ya Kaskazini ni Kilimanjaro, Manyara, Arusha tu.

Huyu kamanda analazimisha kuiweka Tanga kanda kaskazini wakati wameishaitoa.

Chadema hawaelewiki.
 
Last edited by a moderator:
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.

waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.

point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.

Kwanini wengine hawalioni hili.

Wewe unahitaji elimu ya ziada kuhusu jambo hili, kama ihitajikavyo busara kumjibu mjinga.
Unapaswa kutuliza vizuri akili yako na ufuatilie ufafanuzi wa faida ya sera hii ya majimbo na kanda.
 
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.

waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.

point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.

Kwanini wengine hawalioni hili.

Mamaaa sijakuelewa una maana gani??!!
 
Mkuu chama,

Makamanda wanajichanganya wenyewe kwa wenyewe.

Mbowe mwenye chama anasema kanda ya Kaskazini ni Kilimanjaro, Manyara, Arusha tu.

Huyu kamanda analazimisha kuiweka Tanga kanda kaskazini wakati wameishaitoa.

Chadema hawaelewiki.

.......

Kwanza kabisa naomba nikuweke sawa kwenye jambo moja tuu Mbowe siyo mwenye chama na cdm kama chama ni chama cha kila alie mwana chama mshabiki ndiyo maana unaona mtu anahama anatoka Cdm anaenda magamba cdm inabakia palepale hivyo cdm haina mwenyewe.
 
Wewe unahitaji elimu ya ziada kuhusu jambo hili, kama ihitajikavyo busara kumjibu mjinga.
Unapaswa kutuliza vizuri akili yako na ufuatilie ufafanuzi wa faida ya sera hii ya majimbo na kanda.
elimu gani wewe utanipa mimi hapa nina mivitabu ya kumwaga kuhusu siasa heck ninavitabu vinavyoonglea sera ya majimbo tu in relation to democracy, nina vitabu vinaongelea siasa za marekani na sera za majimbo, nina vitabu vilivyojaa conflict kutokana na sera majimbo to think i only read this for the sake of understanding human behavior in relation to their external environment.......i dont think wewe unaweza ni funza kitu believe me.

ni matatizo ya kutoelewa mechanism and technicalities kuhusu hivi vitu vinavyoendeshwa na jitihada za nyuma ya pazia kutoka kwa wahusika, sio chama tu ndio chenye kuweza ku-deal na challenges za society there are scores of other national organs liaising to maintain order especially where society is largely ignorant (uwezi elewa hivyo vitu kwa kusikiliza hotuba inataka usome a wide range of social science theories).

hivi vitu ni kukurupuka na bahati yenyewe ni kuwa CCM ina wapuuza mpaka waone madhara, kama wengine tulivyoona kauli zilizotolewa na wasira na mapadre were a recipe for conflict (didnt expect to happen but the chances were there). hivi vitu si rahisi kama mnavyofikiri nyie.
 
Mamaaa sijakuelewa una maana gani??!!
wewe unaelewa kauli za viongozi wa CDM tu hata ukiambiwa uruke katikati ya bahari utalielewa hilo, akili iliyochotwa tayari aiwezi elewa chochote just like a conditioned pavlov's dog.
 
Kwa utaratibu huu wa kanda lazima kuna watu watajibeba kwa mbereko ya mrenda. Hawataki mbunge lionekane live, watasema "hawaungi mkono chadema kujiendesha kwa kanda" wakiulizwa kwa nini watasema "watawasumbua wananchi huko kwenye kanda kama jinsi wabunge wao wanavyo wasumbua wananchi kwenye tv"

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwa utaratibu huu wa kanda lazima kuna watu watajibeba kwa mbereko ya mrenda. Hawataki mbunge lionekane live, watasema "hawaungi mkono chadema kujiendesha kwa kanda" wakiulizwa kwa nini watasema "watawasumbua wananchi huko kwenye kanda kama jinsi wabunge wao wanavyo wasumbua wananchi kwenye tv"

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Wewe Chadema wa kanda ipi?
 
ni juzi tu tumesoma watu wamepigana mapanga kwa sababu ya kuchinja, leo tena mikutano ya kikanda.

waliopigana mapanga huko geita sio watu wanaoshinda hapa JF au watu wa maofisini, ni wachinjaji sasa mchinjaji ana uwezo gani wa kuchanganua na kupima mambo.

point yangu ni kwamba taifa letu wajameni ni bado sana kwa mambo ya fikra za ukanda ni kutafuta matatizo mengine.

Kwanini wengine hawalioni hili.

........

Mkuu! Mimi nimeelewa kuwa ni kanda za kiutawala si za kikabila. Na kuhusu wachinjaji kutokuwa na weledi wa mambo ingefaa ufafanue ni kundi gani la watanzania ni bora na unataka lipewe kipaumbele kuliko lingine.

Kama hujaelewa kuhusu sera ya majimbo ni vema kufuatilia matamko na mikutano ya wanaohubiri sera hiyo koliko kubaki na sumu mbaya ya kifikra kuhusu majimbo.

Pia ni vema ukiuliza maswali kwa mleta mada naamini atakujibu, kuliko kukimbilia kukejeli wachinjaji wa mifugo na kusifia wachinjaji wa maendeleo yetu.
 
na Grace Macha, Arusha


amka2.gif
MKAKATI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa kupeleka madaraka kwa wananchi kupitia kanda kumi za kichama zilizoundwa na Baraza Kuu hivi karibuni umeanza kazi rasmi kwa kila kanda kuweka mikakati yake.
Katika mgawanyo huu, Kanda ya Kaskazini ilipangwa kuwa na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara ambapo Mkoa wa Arusha ulichaguliwa kuwa makao makuu ya Kanda ya Kaskazini.
Taarifa ya kanda hiyo kwa vyombo vya habari jana ilisema kuwa, Februari 16 na 17 mwaka huu, kutakuwa na kikao cha kwanza cha chama Kanda ya Kaskazini ambacho kitajumuisha wabunge wote kutoka mikoa ya kanda hiyo akiwemo Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe na viongozi wa chama wa mikoa.
Kwamba kikao hicho pia kitahudhuriwa na wenyeviti na mameya wa halmashauri zinazoongozwa na CHADEMA pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya chama, wanaoishi kwenye Kanda ya Kaskazini pamoja na mwasisi wa chama hicho, Edwin Mtei.
Aidha, Februari 17 mwaka huu, kikao kitajumuisha viongozi kutoka majimbo yote ya Kanda ya Kaskazini takriban majimbo 30 na kuleta wajumbe zaidi ya 200 katika Jiji la Arusha.
Siku hiyo hiyo kutakuwa na uzinduzi wa kanda yenyewe na kuitambulisha timu ya uratibu, utakaohitimishwa na mkutano mkubwa wa hadhara.
Taarifa hiyo iliwaomba wananchi, wakazi wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wajitokeze kwa wingi kwa ajili ya uzinduzi wa kanda yao na kuunga mkono mpango huu wa chama ambao mbali ya kukifanya kuwa karibu zaidi na wananchi pia katika kufanya shughuli za kisiasa kwa ufanisi wa hali ya juu.


source: tanzaniadaima
 
Waje wa kanda nyingine nao watuwekee info zao. Isije ikaanza kuwapa watu kuleta mambo ya ukanda hapa.
 
CCM itawachuka miaka zaidi 10 kuelewa dhana hiii ya majimbo then watakurupuka kama walivyo ponda matumizi Helkopta kwa miaka mingi Kisha wakaelewa na Kuanza kutumia helkopta 3!

Shida ya yenu mnawapa watu madaraka kwa kwangalia utajili wake, hata kama utajili anaupata kwa kuuwa watu kwa kuwauzia ARV fake. Watu wenye uwezo wakufikiri na kutumia elimu yao kwa manufaa ya umma mnawaona adui.

CDM itaendelea kuwaonyesha njia.
 

Mkuu! Mimi nimeelewa kuwa ni kanda za kiutawala si za kikabila. Na kuhusu wachinjaji kutokuwa na weledi wa mambo ingefaa ufafanue ni kundi gani la watanzania ni bora na unataka lipewe kipaumbele kuliko lingine.

Kama hujaelewa kuhusu sera ya majimbo ni vema kufuatilia matamko na mikutano ya wanaohubiri sera hiyo koliko kubaki na sumu mbaya ya kifikra kuhusu majimbo.

Pia ni vema ukiuliza maswali kwa mleta mada naamini atakujibu, kuliko kukimbilia kukejeli wachinjaji wa mifugo na kusifia wachinjaji wa maendeleo yetu.
amna aliesema ni kanda za ukabila its only that ukabila is already embedded in people's mind therefore it could be used to invoke emotions under a craftily demagogue if needed.

nia na madhumuni ya sera yao nayaelewa sana na kuna jinsi nyingi za kufikia malengo yao bila ya sera ya majimbo.

Anyway me out, siku njema. Halafu kwanini humu ndani kejeli huwa wana anazisha wengine lawama zinaenda kwa wengine.
 
Back
Top Bottom