Kikao cha dharura kuhusu SAMIDRC na M23

Kikao cha dharura kuhusu SAMIDRC na M23

Watu wenye akili waiweke hii kitu kwamfumo wa MOVIE itakua kali na itafichua mambo mengi mnooo...... Tunaisubiri kwa hamu ikiwa min-series itapendeza.
 
Mbona tunasikia uko Congo kwasasa M23 wanachapika vibayaaa!!!
Kama inachapika, na SAMIDRC inafukuzwa na nani sasa? SAMIDRC imetekwa na nani? Silaha zake zipo wapi kwani? Vita vya mtandaoni ndo vipo hivyo,ila ukweli ni huo. Yaani mpaka SADC inaenda kuomba makubaliano na M23, ni kwamba ilikuwa na nguvu?
 
SADC wakubali tu kiutu uzima, waliingia kichwakichwa zimewakuta aibu
 
Back
Top Bottom