Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Wadau hivi kwanini Celebrities wanaoendaga kikaangoni ya EATV wanapendaga kudanganya au Kuongea vitu vya Ajabu??Jana Tumeshuhudia Amber Lulu akiongea ufamba kabisa!et Form 4 alipata Division 2 ya 34..!!Hii division 2 itakua ya nchi jirani tena hasa hasa Malawi,,Pia Lulu diva nae Hapo hapo Wakati anakaangwa akasema Kwasasa ana Umri wa miaka19 so hayuko tayari kuolewa mpaka akue,,Sasa najiuliza Why hufanya ivi au kwa sababu inatakiwa ujibu fasta Chapcheree ndo hubabaika??.
@NgarenaroBoy.
@NgarenaroBoy.