Kijue kikosi cha Yanga kilicho itambia Simba miaka 5 mfululizo

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,445
Inafika kipindi lazima tukumbuke historia yetu katika maisha kila siku wapi tuliko toka na wapi tunako endelea.
Kwa wale vijana wa enzi hizooooooooo wataungana na mimi kukumbuka upinzani wa jadi wa enzi hizoo na kukumbuka majina ya baadhi ya wachezaji wa enzi hizo naamini ingekuwa ndio leo basi wangekuwa mabilionea.
Angalia List ya watoto wa Jangwani enzi hizo Mnyama alikuwa hafurukuti hata kidogo kikipangwa kikosi hiki;-
1-ELIAS MICHAEL
2-KILAMBO
3-KITENGE
4-GOBOSI
5-KAPELA
6-ABDULRAHAMAN JUMA
7-CHITETE
8-SUNDAY
9-KITWANA
10-DILUNGA
11-SEMBULI

Wachezaji wa akiba;-
1-JUMA BOMBA
2-BADI ALLY
3-MUHIDINI
4-BONA MAX
5-MOHAMED UGANDO
6-BONA BRUNO.
Unaweza ukaongezea wengine.
 
Inafika kipindi lazima tukumbuke historia yetu katika maisha kila siku wapi tuliko toka na wapi tunako endelea.
Kwa wale vijana wa enzi hizooooooooo wataungana na mimi kukumbuka upinzani wa jadi wa enzi hizoo na kukumbuka majina ya baadhi ya wachezaji wa enzi hizo naamini ingekuwa ndio leo basi wangekuwa mabilionea.
Angalia List ya watoto wa Jangwani enzi hizo Mnyama alikuwa hafurukuti hata kidogo kikipangwa kikosi hiki;-
1-ELIAS MICHAEL
2-KILAMBO
3-KITENGE
4-GOBOSI
5-KAPELA
6-ABDULRAHAMAN JUMA
7-CHITETE
8-SUNDAY
9-KITWANA
10-DILUNGA
11-SEMBULI

Wachezaji wa akiba;-
1-JUMA BOMBA
2-BADI ALLY
3-MUHIDINI
4-BONA MAX
5-MOHAMED UGANDO
6-BONA BRUNO.
Unaweza ukaongezea wengine.

Sasa tumeshaingia mambo ya Simba na Yanga na hapatatosha. Ngoja tusubiri na ile Simba iliyoitoa Yanga kamasi kwa miaka 5 mfululizo!

Fidel 80, naona sasa mnajifariji baada rungu la CECAFA kuwashukia na kugundua kuwa mmechemsha na kutuaibisha Watanzania. Pamoja na makeke yote bado ni hawa Simba na Yanga ndo wamesababisha kudumaa kwa Soka la Tanzania. Hizi timu zenu inatakiwa zife kama zilivyokufa Gor mahia na AFC Leopards za Kenya ili Soka la TZ lipande; zibaki timu kama za Mtibwa na Kagera Sugar ambazo hazina waganga njaa.

Tuache unazi kwa manufaa ya Soka letu.
 
Inafika kipindi lazima tukumbuke historia yetu katika maisha kila siku wapi tuliko toka na wapi tunako endelea.
Kwa wale vijana wa enzi hizooooooooo wataungana na mimi kukumbuka upinzani wa jadi wa enzi hizoo na kukumbuka majina ya baadhi ya wachezaji wa enzi hizo naamini ingekuwa ndio leo basi wangekuwa mabilionea.
Angalia List ya watoto wa Jangwani enzi hizo Mnyama alikuwa hafurukuti hata kidogo kikipangwa kikosi hiki;-
1-ELIAS MICHAEL
2-KILAMBO
3-KITENGE
4-GOBOSI
5-KAPELA
6-ABDULRAHAMAN JUMA
7-CHITETE
8-SUNDAY
9-KITWANA
10-DILUNGA
11-SEMBULI

Wachezaji wa akiba;-
1-JUMA BOMBA
2-BADI ALLY
3-MUHIDINI
4-BONA MAX
5-MOHAMED UGANDO
6-BONA BRUNO.
Unaweza ukaongezea wengine.


Ongeza Boi "Wickens" Idi, Awadh Gessan, Gilbert Mahinya "Mashine"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom