Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,942
- 4,410
Inafika kipindi lazima tukumbuke historia yetu katika maisha kila siku wapi tuliko toka na wapi tunako endelea.
Kwa wale vijana wa enzi hizooooooooo wataungana na mimi kukumbuka upinzani wa jadi wa enzi hizoo na kukumbuka majina ya baadhi ya wachezaji wa enzi hizo naamini ingekuwa ndio leo basi wangekuwa mabilionea.
Angalia List ya watoto wa Jangwani enzi hizo Mnyama alikuwa hafurukuti hata kidogo kikipangwa kikosi hiki;-
1-ELIAS MICHAEL
2-KILAMBO
3-KITENGE
4-GOBOSI
5-KAPELA
6-ABDULRAHAMAN JUMA
7-CHITETE
8-SUNDAY
9-KITWANA
10-DILUNGA
11-SEMBULI
Wachezaji wa akiba;-
1-JUMA BOMBA
2-BADI ALLY
3-MUHIDINI
4-BONA MAX
5-MOHAMED UGANDO
6-BONA BRUNO.
Unaweza ukaongezea wengine.
Kwa wale vijana wa enzi hizooooooooo wataungana na mimi kukumbuka upinzani wa jadi wa enzi hizoo na kukumbuka majina ya baadhi ya wachezaji wa enzi hizo naamini ingekuwa ndio leo basi wangekuwa mabilionea.
Angalia List ya watoto wa Jangwani enzi hizo Mnyama alikuwa hafurukuti hata kidogo kikipangwa kikosi hiki;-
1-ELIAS MICHAEL
2-KILAMBO
3-KITENGE
4-GOBOSI
5-KAPELA
6-ABDULRAHAMAN JUMA
7-CHITETE
8-SUNDAY
9-KITWANA
10-DILUNGA
11-SEMBULI
Wachezaji wa akiba;-
1-JUMA BOMBA
2-BADI ALLY
3-MUHIDINI
4-BONA MAX
5-MOHAMED UGANDO
6-BONA BRUNO.
Unaweza ukaongezea wengine.