Habari za jumatatu Great Thinkers wakati tukisubiri kumtoa mpiganaji wetu Mbowe nimeona tumpe hongera huyu kijana wa kikatoliki,bingwa wa HISABATI kwa kusimikwa kuwa Askofu wa Jimbo la Mbinga nianze mimi kwa kusema hongera sana JOHNI NDIMBO.Akanono!!
Hongera yake sana John Ndimbo kwa kusimikwa kuwa askofu wa jimbo la mbinga. Ila naomba kujua aliyekuwa askofu wa jimbo wa zamangi wa jimbo hlo Emanuel Mapunda kaenda wapi? Either kahamishwa, kafa au kabadilishiwa majukumu?
Hongera yake sana John Ndimbo kwa kusimikwa kuwa askofu wa jimbo la mbinga. Ila naomba kujua aliyekuwa askofu wa jimbo wa zamangi wa jimbo hlo Emanuel Mapunda kaenda wapi? Either kahamishwa, kafa au kabadilishiwa majukumu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.