ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Hii inashangaza sana pamoja na kuwa unafanyika ukarabati wa kuhamia mitambo ya gesi lakini si kwa kiwango hiki cha ajabu toka jana sehemu nyingi tu za mji walikua na umeme, TANESCO tatizo lenu nini?Tunaishiwa hadi chaji katika simu zetu maisha yataenda vipi kwa hali hii?
Hebu tuwashieni jamani!
Hebu tuwashieni jamani!