Kijana wa form six kamaliza leo

Kijana wa form six kamaliza leo

Hongera kwake!
Kama itawezekana na atapenda anapokuwa akisubiri matokeo ya ASCEE yatoke hadi kwenda chuo nadhani;

Atafutiwe mahali anapoweza kujiongezea ujuzi kwa kuchagua kusoma kozi fupi zitolewazo na VETA.

Atafutiwe mahali anapoweza fanya kazi kama ni kwa watu binafsi/Taasisi yoyote afanye kazi yoyote ya kujitolea lakini iwe inampa ujuzi hata kama ni kwa malipo kidogo au pasipo malipo.
 
Hongera kwake!
Kama itawezekana na atapenda anapokuwa akisubiri matokeo ya ASCEE yatoke hadi kwenda chuo nadhani;

Atafutiwe mahali anapoweza kujiongezea ujuzi kwa kuchagua kusoma kozi fupi zitolewazo na VETA.

Atafutiwe mahali anapoweza fanya kazi kama ni kwa watu binafsi/Taasisi yoyote afanye kazi yoyote ya kujitolea lakini iwe inampa ujuzi hata kama ni kwa malipo kidogo au pasipo malipo.
Good
 
Kuna majamaa wanatafuta wakike
Humu ndani watu hawapo seriously mjue
 
Back
Top Bottom