Kijana usioe/kuolewa na mtu anaenyonya sehemu za siri

Habari zenu Wakuu,

Kama utataka kuoa/kuolewa nakushauri usikubali kufunga ndoa na mtu anaenyonya sehemu za siri.

Nitakupa sababu za kwanini usifanye hivyo, sababu zenyewe ni kama ifuatavyo,

1) Hawana nguvu za kiume ndio maana wananyonya ili kukufikisha kileleni kwasababu wao binafsi hawawezi kutumia uume.

2) Ni watu wenye uzinzi uliopindukia kiasi wanashindwa kujizuia.

3) Hawana heshima kwa muumba ndio maana wameigeuza sehemu ya kupitishia chakula kuwa sehemu ya kufanyia ngono.

4) Wana matatizo ya akili maana wanapingana na Madaktari kuwa ngono ya mdomo si salama.

5) Wanajaribu mambo sana, usije kushangaa siku akakuomba nyuma.

KATAA KUOLEWA/KUOA MTU ANAENYONYA SEHEMU ZA SIRI.


Mjanja M1 kwasasa napatikana Guangzhou China
Sema mm kanuni zangu, ukiona mwanaume anaongea kuhusu wanaume mwenzie, hasa mambo ya faraga ujue shida ndo inaanzia hapo
 
Habari zenu Wakuu,

Kama utataka kuoa/kuolewa nakushauri usikubali kufunga ndoa na mtu anaenyonya sehemu za siri.

Nitakupa sababu za kwanini usifanye hivyo, sababu zenyewe ni kama ifuatavyo,

1) Hawana nguvu za kiume ndio maana wananyonya ili kukufikisha kileleni kwasababu wao binafsi hawawezi kutumia uume.

2) Ni watu wenye uzinzi uliopindukia kiasi wanashindwa kujizuia.

3) Hawana heshima kwa muumba ndio maana wameigeuza sehemu ya kupitishia chakula kuwa sehemu ya kufanyia ngono.

4) Wana matatizo ya akili maana wanapingana na Madaktari kuwa ngono ya mdomo si salama.

5) Wanajaribu mambo sana, usije kushangaa siku akakuomba nyuma.

KATAA KUOLEWA/KUOA MTU ANAENYONYA SEHEMU ZA SIRI.


Mjanja M1 kwasasa napatikana Guangzhou China
mkuu pole kwa kunyonywa
 
Habari zenu Wakuu,

Kama utataka kuoa/kuolewa nakushauri usikubali kufunga ndoa na mtu anaenyonya sehemu za siri.

Nitakupa sababu za kwanini usifanye hivyo, sababu zenyewe ni kama ifuatavyo,

1) Hawana nguvu za kiume ndio maana wananyonya ili kukufikisha kileleni kwasababu wao binafsi hawawezi kutumia uume.

2) Ni watu wenye uzinzi uliopindukia kiasi wanashindwa kujizuia.

3) Hawana heshima kwa muumba ndio maana wameigeuza sehemu ya kupitishia chakula kuwa sehemu ya kufanyia ngono.

4) Wana matatizo ya akili maana wanapingana na Madaktari kuwa ngono ya mdomo si salama.

5) Wanajaribu mambo sana, usije kushangaa siku akakuomba nyuma.

KATAA KUOLEWA/KUOA MTU ANAENYONYA SEHEMU ZA SIRI.


Mjanja M1 kwasasa napatikana Guangzhou China
Wapi Mungu alikataza watu wasinyonyane??? Au umeleta mihemko yako ya kushiba makande
 
Sehemu ya mwemzako ya kunyeq au kokojolea unainyonya hivi mtu wa namna hii ana akili timamu kweli
 
Back
Top Bottom