Kijana unayejitafuta!

Kijana unayejitafuta!

Zirconium

Senior Member
Joined
Feb 1, 2025
Posts
133
Reaction score
175
Kwa kijana ambaye umeanza kujitafuta kimaisha, kama wazazi hawajakufukuza, au hujaaribu hapo mtaani.

Tafadhali baki tu nyumbani kwenu. Utaokoa kiasi flani cha fedha.

Achana na jamiii inaongea nini kuhusu watu ambao wanaishi bado kwao, Kulipa kodi ya nyumba sio jambo la kitoto.
 
Kwa kijana ambaye umeanza kujitafuta kimaisha, kama wazazi hawajakufukuza, au hujaaribu hapo mtaani.

Tafadhali baki tu nyumbani kwenu. Utaokoa kiasi flani cha fedha.

Achana na jamiii inaongea nini kuhusu watu ambao wanaishi bado kwao, Kulipa kodi ya nyumba sio jambo la kitoto.
Sehemu yyt ile unaweza kujitafta iwe nyumban au ugenini...
Kikubwa ni kujiwekea malengo na mikakakti madhubuti, kupunguza ma2mz ya fedha yasiyo ya lazima.
Kukomboa wakati.
Kujitafta kimaisha si mpaka uwe mbali na kwenu.
 
Heri utoke hapo nyumban ukasake hata geto la 30000 elfu aiseé uwapishee hao unaowaita wazazi wakae Kwa kupumuaa Kwa kulishaa lijibaba lenye ndevu mpk makalioni nawee ukatafutee helaa za kujengaa nyumba Yako km n rahisi hvyoo ,shuwaniiiiii kbs kijana unaekaa Kwa wazazi na hausomi wala una mtindio wa ubongoo...
 
Heri utoke hapo nyumban ukasake hata geto la 30000 elfu aiseé uwapishee hao unaowaita wazazi wakae Kwa kupumuaa Kwa kulishaa lijibaba lenye ndevu mpk makalioni nawee ukatafutee helaa za kujengaa nyumba Yako km n rahisi hvyoo ,shuwaniiiiii kbs kijana unaekaa Kwa wazazi na hausomi wala una mtindio wa ubongoo...
Una mawazo negative sanaa na kichwa chako kimeja matusi tuu.

Watu wa aina hii ni hovyo kabisa kwenye jamii.

Toa point, hauna point una ishia kutukana tuu.
 
Ni kweli kabisa. Kijana mdogo kama wewe wa miaka 35 unaanzaje kwenda kuteseka huko mitaani wakati una kwenu? Heri uendelee kukaa kaa hapo home ukila ugali wa shkamoo huku ukiendelea kusikilizia michongo yako taratibu. Kwani una haraka gani ya kuhama?
 
Kwa kweli mm bado ni kijana mdogo sana Intelligent businessman makutupora
Ni kweli kabisa. Kijana mdogo kama wewe wa miaka 35 unaanzaje kwenda kuteseka huko mitaani wakati una kwenu? Heri uendelee kukaa kaa hapo home ukila ugali wa shkamoo huku ukiendelea kusikilizia michongo yako taratibu. Kwani una haraka gani ya kuhama?
[/QUOTE
 
Makalio n tusi kwakoo🤔,kukuambiaa utoke nyumban nakwenda kutafuta kwako n matusi...
Basi una maneno ya dharura na kukandia kama siyo matusi kwa wewe unavyo hisi.

Mwenzako katoa hoja bila tusi wala Dhararu.
Mbona wewe hauja toa point ume ishia kukandia tuu.

We toa point watu waelewe mawazo yako tuu ina tosha.
 
maisha hayajawah kuwa rahisi,
Ni magumu . Ila watu wanakomaa .

Kama kuna wanawake wanalipa kodi wenyewe,
Sasa Ww mwanaume unaogopaje majukumu ya kodi , maisha utatoboa kweli?...

Komaa , na dont skip the process.
Toka Home , anza maisha ya kujitegemea.
Ukiigopa Maisha utakufa maskini.
 
Back
Top Bottom