Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,271
- 5,892
Jamaa anafanya madeal (biashara) gani? Naona wadau wanamsifia.Nmeona haina haja ya kumharibia uzi jamaa...
Jamaa anafanya madeal (biashara) gani? Naona wadau wanamsifia.Nmeona haina haja ya kumharibia uzi jamaa...
sifahamu kwa kweli...Jamaa anafanya madeal (biashara) gani? Naona wadau wanamsifia.
brother kwenye kipengere cha kujitoa akili nilikifauru sana yani. kwa hiyo ukishanivuruga ndio basi tena sina msamaha wala siamini katika kutafta suruhu katika kipengere ambacho mtu kanivuruga wewe rudisha coment yako, uliyotupostia kigari chako ila uniambie umekipataje over, alafu wanaume huwa hatuna maisha ya kukosa misimamo stick to your side men, acha wehu siwezai kufuta reply ya quotation yako ile hali nireply coment uliyoandika mwenyewe, kama ulikuwa umepiga gambe mimi ndio balozi wa jamhuri ya walevi so comeback in battle groundmensifahamu kwa kweli...
jaribu kumcheki...
Si umedai kwamba umekua ukimfatilia hadi nyuzi zake za nyuma... Mpaka mkaanza kuchambana.sifahamu kwa kweli...
jaribu kumcheki...
Wewe unajuaNisikuharibie uzi mkuu fanya hivi tufanye kama hakuna kilichotokea, nimefuta cmmnt yangu, waweza futa na yako pia thanks, incredible terminator
anajua nini mkuuWewe unajua
Japo bandiko lako nimeliona kupitia reply ila inadhihirisha unajua
com on men yaani mtu anijue kwa kufuatilia nyuzi since najiunga jf? stop fooling people men, ko mnataka kuamini nini and kuna mtu amelazimishwa aamini nilichoandika kam mtu haamini deal with your own men,Si umedai kwamba umekua ukimfatilia hadi nyuzi zake za nyuma... Mpaka mkaanza kuchambana.
Comments zinatia moyo ngoja nianze kusoma
Si umedai kwamba umekua ukimfatilia hadi nyuzi zake za nyuma... Mpaka mkaanza kuchambana.
unasema nina kigari, running cost yake unafilisika hiko kibanda chako...brother kwenye kipengere cha kujitoa akili nilikifauru sana yani. kwa hiyo ukishanivuruga ndio basi tena sina msamaha wala siamini katika kutafta suruhu katika kipengere ambacho mtu kanivuruga wewe rudisha coment yako, uliyotupostia kigari chako ila uniambie umekipataje over, alafu wanaume huwa hatuna maisha ya kukosa misimamo stick to your side men, acha wehu siwezai kufuta reply ya quotation yako ile hali nireply coment uliyoandika mwenyewe, kama ulikuwa umepiga gambe mimi ndio balozi wa jamhuri ya walevi so comeback in battle groundmen
Yaani umeona ni tambo Ila hapa nazidi kujifunza mind zinavyofanya kazi jamani.Nisikuharibie uzi mkuu fanya hivi tufanye kama hakuna kilichotokea, nimefuta cmmnt yangu, waweza futa na yako pia thanks, incredible terminator
Yaani umeona ni tambo Ila hapa nazidi kujifunza mind zinavyofanya kazi jamani.
Wewe ndiye uliyeleta tambo sema nyani haoni kundule jamani.
Yaani ni Kama umeumia na jamaa alivyoumia. Kuna kijana anahangaika kutafuta mtaji wa laki moja mkuu. Kama umenyookewa shukuru sio kudisi watu.
Dah haya maisha baya dah ..wengine wanajisifu, wengine hata mtaji wa 50k hana ..ila yote kwa yote life goes onYaani umeona ni tambo Ila hapa nazidi kujifunza mind zinavyofanya kazi jamani.
Wewe ndiye uliyeleta tambo sema nyani haoni kundule jamani.
Yaani ni Kama umeumia na jamaa alivyoumia. Kuna kijana anahangaika kutafuta mtaji wa laki moja mkuu. Kama umenyookewa shukuru sio kudisi watu.