Mwanamke sio mzigo kijana ngoja nikuambie hivi mfano umeoa ukiwa na miaka 35, jumlisha mwaka mmoja wa mkeo kutafuta mimba inakuwa 36 ,akipata mimba jumlisha miezi 9 ya mimba sawa na mwaka atakuwa na 37, mtoto anazaliwa kwa desturi za elmu ya tanzania miaka saba darasa la kwanza 7 atakuwa na miaka 37 +7 ni sawa na 44 ,anahitimu darasa la saba akiwa na miaka 14 ,44+7 ni sawa na 51, form one hadi four 4 ,51+4 nisawa na 55,six hadi chuo 6 maxmam 55+6 ni sawa na 61 bado kufeli ,kudisco n.k pili life expectance Tanzania 52 je kwa hali hiyo mwanao utaona matunda yake, vijana oeni mapema .