only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Kuna kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sospeter Shindika anayesema atazunguka nchi nzima hususani Tanganyika kujionea maendeleo yaliyofikiwa ndani ya miaka 50 kwa kutumia pikipiki tena ya kichina..amedai mambo ni mazuri tofauti na watu wanavyosema,amesema safari yake itaitimishwa tarehe 9 desemba wakati wa kilele cha sherehe hizo na atapokewa na viongozi wa juu wa nchi.
My take;
Jamaa atakufa kwa kutaka sifa za kijinga...
Source:TBC-CCM C news bulletin
My take;
Jamaa atakufa kwa kutaka sifa za kijinga...
Source:TBC-CCM C news bulletin