Kijana kampiga mama yake kisa mke wake

Kijana kampiga mama yake kisa mke wake

kitomondo1

Member
Joined
Oct 2, 2014
Posts
98
Reaction score
17
Imetokea bahrain kijana ampiga mama yake mzazi kisa mkewe kakosana na mama yake na kuja kumwambia mumewe mama yako kantukana na kila siku anansimanga ndipo kijana akaingia hasira na kuanza kumpiga mama yake mzazi
 
Kijana ampiga mama yake mzazi kisa mkewe
 

Attachments

  • 1418495635639.jpg
    1418495635639.jpg
    45.4 KB · Views: 1,443
Ndo mama huyo alivochakazwa hapo mkewe anajisikia burudan yaan anaona anapendwa hadi jamaa kumpiga mama yake hajui kama ni laana na huenda akaanza kuokota makopo mda si mrefu na asimkimbie akianza ukichaa
 
Thubutuuuuuu ninavyompenda mama yangu hivi naanzaje???? Hata kama ni hasira kiasi gani, kamwe kamwe siwezi hata kumkasirikia mama yangu Kisa papuchi, go to hell na papuchi yako. Nitampata atakayemheshimu mama yangu
 
Ni kweli kuna kina mama wengine wana gubu hatari ila kijana kumpiga mama yake ni laana kuu....bila kujali amekosa nini kumpiga mama ni zaidi ya kosa la jinai
 
Wanaume Mnajicommentisha hapa ukute hata hamjui kama mama zenu wamekunywa chai au laa.....halafu kutwa kuweka heshima bar....mfyuuuu.....

Mahaba makavu makavu mliyaona wapi? Wengine hata hamkumbuki Mara ya mwisho uliwasiliana nae lini...ndo mtashindwa kuwapiga mkichochewa?
 
Mama mkwe hapatanagi na mke wa mwanae, dawa ni kuwatenganisha kila mtu akae kwake, inasikitisha wewe na mkeo mnajinyima kuwatunza watoto mnajenga nyumba nzuri, baba anakufa watoto wanakula bata na wake zao ndani ya hiyo nyumba mama yao wanamfukuza anaenda kuomba hifathi kwenye pagala la mtu,maana hata hela ya kupanga chumba hana. kisa haelewani na mkamwana
 
Back
Top Bottom