Kijana ishi kama kijana

Kijana ishi kama kijana

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,653
Kijana ishi kama kijana,umri unakimbia kama magurudumu ya gari, kumbuka huwezi kurudi kuwa kijana.Ni aibu kijana kuishi maisha au mitazamo ya kizee,je ukiwa mzee utafanyaje?Ndio wale wakifika uzeeni wanaanza kuutamani ujana.Kwa sasa ishi kama kijana,kuwa smart,tafuta fursa,tafuta mpenzi,akili iwe smart n.k
 
Back
Top Bottom