Kijana anayepambana kimaisha anahitaji mwenza wa kumvumilia kitandani

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,434
7,055
Miaka 25-35 ni kipindi kigumu sana kwa kijana wa kiume. Ndio mambo mengi yapo hapo. Maisha na mapenzi.

Ndio kipindi ambacho hata mwili unahitaji zaidi na unaweza kumudu vizuri tendo la kujamiiana. Hata ndoa nyingi hufungwa katika kipindi hicho.

Mfano kwa hapa Tanzania, kundi kubwa la vijana, inaweza kufika hata 80% wapo kwenye harakati za kufanya maendeleo na kujijenga kimaisha. Kuchelewa kulala na kuwahi kuamka ni kawaida sana. Wanawezaje kuwa active kwenye tendo?

Hata wadada wapambanaji nao ni wahanga katika hili. Uvumilivu unahitajika kwa pande zote.

Haishangazi kuona vijana ndio wateja wakubwa wa dawa za kuongeza nguvu za kiume, kutunisha misuli n.k. Wa kike nao kuwa watumiaji wazuri wa njia mbadala za kujiridhisha kimwili.

Vijana wa vijijini habari zenu tunazo. Hapa hamuhusiki. Tulieni!
IMG_20191014_132429.jpeg
 
Usemalo ni kweli mkuu, wanawake wakumbuke wanapotaka kukojolewa na wao, wawe wanatuandaa kwa kutupa chakula, muda wa mazoezi na kutuondolea stress, sio shida kuturushia kama zote, alafu usiku pia unataka ukojoleshwe kuanzia mala 3.. ni ngumu sanaaaa....
 
Miaka 25-35 ni kipindi kigumu sana kwa kijana wa kiume. Ndio mambo mengi yapo hapo. Maisha na Mapenzi.

Ndio kipindi ambacho hata mwili unahitaji zaidi na unaweza kumudu vizuri tendo la kujamiiana. Hata ndoa nyingi hufungwa katika kipindi hicho.

Mfano kwa hapa Tanzania, kundi kubwa la vijana, inaweza kufika hata 80% wapo kwenye harakati za kufanya maendeleo na kujijenga kimaisha. Kuchelewa kulala na kuwahi kuamka ni kawaida sana. Wanawezaje kuwa active kwenye tendo?

Hata wadada wapambanaji nao ni wahanga katika hili. Uvumilivu unahitajika kwa pande zote.

Haishangazi kuona vijana ndio wateja wakubwa wa dawa za kuongeza nguvu za kiume, kutunisha misuli n.k. Wa kike nao kuwa watumiaji wazuri wa njia mbadala za kujiridhisha kimwili.

Vijana wa vijijini habari zenu tunazo. Hapa hamuhusiki. Tulieni!View attachment 1232929
Hamueleweki. Wakati yule anakuvumilia kwa hali yako yoyote mara anakufuma unamridhisha mwingine mpka anakusifia na kumuhonga hivyo vihela vinavyokukosesha usingizi...

Lakini kingine yule anayekuvumilia sasa Ukija kufanikiwa unamuona Kama msosi uliochacha..

KIUFUPI HAKUNA KANUNI KATIKA MAISHA AMBAYO KILA MTU ANAPASWA KUIFATA..
 
Umeongea fact jombaa......Asante umeniwakilisha
Usemalo ni kweli mkuu, wanawake wakumbuke wanapotaka kukojolewa na wao, wawe wanatuandaa kwa kutupa chakula, muda wa mazoezi na kutuondolea stress, sio shida kuturushia kama zote, alafu usiku pia unataka ukojoleshwe kuanzia mala 3.. ni ngumu sanaaaa....
 
Viagra si njema kabisa kwa afya zetu Wanaume hata kwa 0.000%.

Ni heri tu ukatwe mashine uwe maksai mwenye utimamu au uonane na MADAKTARI watusaidie tatizo lako.
 
Inategemea huyo binti kalelewa vipi na wazazi wake. Kuna wazazi wanawaambia watoto wao ukiona hapaeleweki rudi nyumbani ukae.
Wengine wanawaambia ndoa kuvumiliana
Hapaeleweki kivipi? Uvumilivu niliomaanisha hapa sio wa kipato boss.
 
Hamueleweki. Wakati yule anakuvumilia kwa hali yako yoyote mara anakufuma unamridhisha mwingine mpka anakusifia na kumuhonga hivyo vihela vinavyokukosesha usingizi...

Lakini kingine yule anayekuvumilia sasa Ukija kufanikiwa unamuona Kama msosi uliochacha..

KIUFUPI HAKUNA KANUNI KATIKA MAISHA AMBAYO KILA MTU ANAPASWA KUIFATA..
Kanuni zipo mfano UAMINIFU n.k
 
Kuna kaukweli hapa.
Enzi nikiwa chuo ilikuwa boom likitoka tu na mitego ikinasa ‘nadoji’ pindi nashinda ghetto kutafuna papuchi tu, siku hizi full stress maisha ya mtaa yamenichapa nakimbizana hovyo hata hamu ya kugegeda unasahau.... nikitizama niliosoma nao ni kama mimi tu ndo sijayapatia so unajikuta muda mwingi unawaza kuhusu maisha na sio maombezi ya Rwakatare.
 
mkuu nimekuelewa vyema vyuma vimekaza mipango yako inasogea kwa mwendo wa kobe baby naye anataka kwa wiki mara5 kila usiku 2 or 3 times balaa tu sometime unakuwa empty kabisa mood hamna
 
Uzuri maisha hayana fomula kama "pai R kipeo cha pili"

Wewe ishi vile unaweza ya enjoy haya maisha, furahia maisha
 
Miaka 25-35 ni kipindi kigumu sana kwa kijana wa kiume. Ndio mambo mengi yapo hapo. Maisha na mapenzi.

Ndio kipindi ambacho hata mwili unahitaji zaidi na unaweza kumudu vizuri tendo la kujamiiana. Hata ndoa nyingi hufungwa katika kipindi hicho.

Mfano kwa hapa Tanzania, kundi kubwa la vijana, inaweza kufika hata 80% wapo kwenye harakati za kufanya maendeleo na kujijenga kimaisha. Kuchelewa kulala na kuwahi kuamka ni kawaida sana. Wanawezaje kuwa active kwenye tendo?

Hata wadada wapambanaji nao ni wahanga katika hili. Uvumilivu unahitajika kwa pande zote.

Haishangazi kuona vijana ndio wateja wakubwa wa dawa za kuongeza nguvu za kiume, kutunisha misuli n.k. Wa kike nao kuwa watumiaji wazuri wa njia mbadala za kujiridhisha kimwili.

Vijana wa vijijini habari zenu tunazo. Hapa hamuhusiki. Tulieni!View attachment 1232929
Kabisa
 
Back
Top Bottom