Anaitajika kijana mchapa kazi/mpambanaji mwenye uzoefu wa biashara ndogo ndogo mfano:- kukaanga kuku,samaki,dagaa n.k pamoja na kutafuta walaji. Kazi itafanyikia Dar na atajiongoza mwenyewe Atakabiziwa nyumba na atakuwa anaishi mwenyewe kwa muda wa miezi 12 cha muhimu ni uaminifu na juhudi...