Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,025
- 142,924
Kuna wahafidhina wanasema kuswahilisha kama ulivyokuita (kutohoa) ni kuchafua Kiswahili.Kiswahili ni lugha nzuri na iliyo tamu sana.
Na ni moja ya lugha zilizo rahisi kujifunza.
Tatizo moja kubwa nilionalo mimi ni ukosefu wa taasisi imara za kukikuza.
Baadhi ya watu hudai Kiswahili hakijitoshelezi kimsamiati kama ambavyo Kiingereza kinavyojitosheleza.
Hiyo dhana sikubaliani nayo. Ni dhana potofu.
Kiingereza kimeazima maneno hadi kwenye Kiswahili! Huko kwenye Kilatini ndo usiseme kabisa.
Kila mwaka taasisi za lugha ya Kiingereza huingiza maneno mapya kwenye kamusi zake.
Kwenye Kiswahili sijawahi kuliona hilo.
Sasa kwa mfano kama maneno flani ya Kiingereza hayapo kwenye Kiswahili kwa nini tusiyaazime na tukayaswalihisha tu ili nasi tuwe nayo?
Mbona mengine tumeyaswalihisha? Polisi tumeliswalihisha...hospitali tumeliswalihisha.....shule tumeliswalihisha...na mengineyo mengi tu tumeyaswalihisha.
Sioni kwa nini tusiyaswalihishe na hayo mengine ambayo hatunayo kwenye msamiati kwa sasa.
Waingereza hadi neno 'safari' wameliazima na kuliingiza hadi kwenye kamusi zao.
Wako radhi kutunga maneno.Nilipata tabu sana katika kutafsiri kitabu cha Brian Greene cha "The Elegant Universe" kuhusu hili.
Hata sisi naamini tunaweza kufanya hivyo hivyo kwa yale ambayo tunaona hatunayo.
Kuna wahafidhina wanasema kuswahilisha kama ulivyokuita (kutohoa) ni kuchafua Kiswahili.
Najua, najua.Actually kuswalihisha ni neno kabisa la Kiswahili.
Hao wahafidhina basi watakuwa ni wajinga wa lugha ya Kiswahili maana Kiswahili ni mseto wa lugha kadhaa na maneno yake mengi yametoka kwenye lugha zingine.
Polisi, rais, wilaya, dunia, shule, baba, kwa mfano tu, ni maneno yaliyoazimwa na kuswalihishwa.
Sasa hao wahafidhina sijui wanazungumzia Kiswahili gani hicho!!
Mkuu nilipata nafasi ktk harakati zangu kujadili nguli mmoja wa social linguistics duniani hiyo kauli ya NyerereStepping aside from him, and centering on that "translator" idea.
Kuna watu nishagombana nao hapa kwa sababu nimewaambia kwamba hawawezi kubishana na mimi kwa sababu nimesoma kazi za Lord Bertrand Russell na wao wameishia kwenye kazi za Lord Jesus.
Kwa sababu hawajui Kiingereza!
Si kwa sababu Kiingereza ni usomi au kina upawa zaidi ya Kiswahili, hasha, nishasema hpo juu Kiingereza kama lugha ni dhalili ukikilinganisha na Kiswahili.
Lakini kimepata kuwa, kwa sababu moja au nyingine, kibiashara, kishistoria, kisiasa etc, kuwa kama alivyosema Nyerere, "Kiswahili cha dunia". Kuna mambo ambayo Kiswahili hata maneno yake hatuna, yameandikwa Kiswahili.
Unapotaka kumueleza mtu katika Kiswahili kwamba huna "multiverse" au "boson particle", utatumia maneno gani?
Sasa kwa mtu asiyejua Kiingereza, hata ukimtafsiria "Hegelian dialectic" kama televisehni ya Zanzibar enzi hizo kwa kusema "Mapinduzi Daima" (wangapi wanakumbuka hili?) utakuwa ushamvusha mto mkubwa wa kufikiri mambo yako bila mapinduzi.
Taasisi hazina meno. Tataki (udsm) wanajitahidi kidogo wametafsiri vitabu kadha wa kadha shida inakuja utumizi wa kiswahili uko limited sana ktk elimu. Siku itakapotumika kama lugha ya kufundishia sekondari itakuwa vizuri.Kiswahili ni lugha nzuri na iliyo tamu sana.
Na ni moja ya lugha zilizo rahisi kujifunza.
Tatizo moja kubwa nilionalo mimi ni ukosefu wa taasisi imara za kukikuza.
Baadhi ya watu hudai Kiswahili hakijitoshelezi kimsamiati kama ambavyo Kiingereza kinavyojitosheleza.
Hiyo dhana sikubaliani nayo. Ni dhana potofu.
Kiingereza kimeazima maneno hadi kwenye Kiswahili! Huko kwenye Kilatini ndo usiseme kabisa.
Kila mwaka taasisi za lugha ya Kiingereza huingiza maneno mapya kwenye kamusi zake.
Kwenye Kiswahili sijawahi kuliona hilo.
Sasa kwa mfano kama maneno flani ya Kiingereza hayapo kwenye Kiswahili kwa nini tusiyaazime na tukayaswalihisha tu ili nasi tuwe nayo?
Mbona mengine tumeyaswalihisha? Polisi tumeliswalihisha...hospitali tumeliswalihisha.....shule tumeliswalihisha...na mengineyo mengi tu tumeyaswalihisha.
Sioni kwa nini tusiyaswalihishe na hayo mengine ambayo hatunayo kwenye msamiati kwa sasa.
Waingereza hadi neno 'safari' wameliazima na kuliingiza hadi kwenye kamusi zao.
Hata sisi naamini tunaweza kufanya hivyo hivyo kwa yale ambayo tunaona hatunayo.
Umenena vyema kabisa,kula tano ya ujazo[emoji122] [emoji122] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Kiswahili ni lugha nzuri na iliyo tamu sana.
Na ni moja ya lugha zilizo rahisi kujifunza.
Tatizo moja kubwa nilionalo mimi ni ukosefu wa taasisi imara za kukikuza.
Baadhi ya watu hudai Kiswahili hakijitoshelezi kimsamiati kama ambavyo Kiingereza kinavyojitosheleza.
Hiyo dhana sikubaliani nayo. Ni dhana potofu.
Kiingereza kimeazima maneno hadi kwenye Kiswahili! Huko kwenye Kilatini ndo usiseme kabisa.
Kila mwaka taasisi za lugha ya Kiingereza huingiza maneno mapya kwenye kamusi zake.
Kwenye Kiswahili sijawahi kuliona hilo.
Sasa kwa mfano kama maneno flani ya Kiingereza hayapo kwenye Kiswahili kwa nini tusiyaazime na tukayaswalihisha tu ili nasi tuwe nayo?
Mbona mengine tumeyaswalihisha? Polisi tumeliswalihisha...hospitali tumeliswalihisha.....shule tumeliswalihisha...na mengineyo mengi tu tumeyaswalihisha.
Sioni kwa nini tusiyaswalihishe na hayo mengine ambayo hatunayo kwenye msamiati kwa sasa.
Waingereza hadi neno 'safari' wameliazima na kuliingiza hadi kwenye kamusi zao.
Hata sisi naamini tunaweza kufanya hivyo hivyo kwa yale ambayo tunaona hatunayo.
Asante........maneno ya ukweli hayaNajua, najua.
Wanasema kwamba Kiswahili kimejawa na maneno ya kutohoa (au kwa Kiswahili kingine Kuswahilishwa) mpaka asili yenyewe inapotea.
Na huu mjadala si wa Kiswahili tu.
Kwa yeyote aliyekisoma Kiingereza cha ndani cha kina Churchill na hata zamani zaidi, atajua na kuona hawa kama walikuwa na nafasi ya kutumia neno lenye mizizi ya "old English" au neno jipya la kutohoa kutoka Kilatini, walichagua neno la "Old English".
Kwa hivyo huu si mjadala mpya wa Kiswahili tu.
Hata Kiingereza kilishakuwa na mjadala huu.
Wangapi wanajua hilo?
Lkn kina Kadege hawataki kitumike eti hakina msamiati sasa kitapataje msamiati wakati hamtaki kukitumia?Taasisi hazina meno. Tataki (udsm) wanajitahidi kidogo wametafsiri vitabu kadha wa kadha shida inakuja utumizi wa kiswahili uko limited sana ktk elimu. Siku itakapotumika kama lugha ya kufundishia sekondari itakuwa vizuri.
Tunatakiwa kumuelewa Kadghe vizuri. Hata ukisoma Utafiti wake anataka code switching as medium of instruction unajiuliza anatka utambulisho gani kwa vizazi vijavyo. Lugha ni utambulisho. Yeye na watoto wake ni wanufaika wa mfumo Kingereza ktk elimu. Vip kuhusu millions of Tanzanian children?Lkn kina Kadege hawataki kitumike eti hakina msamiati sasa kitapataje msamiati wakati hamtaki kukitumia?
Sawa kwake yeye anufaike ni Kiingereza lkn ni % ngapi ya watanzania wanakihitaji na kukitumia kila siku ktk maisha yao ya kila siku ni wachache sana.......kwa hiyo point yake hains mashikoTunatakiwa kumuelewa Kadghe vizuri. Hata ukisoma Utafiti wake anataka code switching as medium of instruction unajiuliza anatka utambulisho gani kwa vizazi vijavyo. Lugha ni utambulisho. Yeye na watoto wake ni wanufaika wa mfumo Kingereza ktk elimu. Vip kuhusu millions of Tanzanian children?
Hata hivyo tunahitaji kujifunza lugha nyingi. Lakini suala ni pale lugha ya kigeni inapotumika ktk kufundishia inazuia uelewa then anakuja msomi kuitetea nashindwa kumuelewaSawa kwake yeye anufaike ni Kiingereza lkn ni % ngapi ya watanzania wanakihitaji na kukitumia kila siku ktk maisha yao ya kila siku ni wachache sana.......kwa hiyo point yake hains mashiko
Umenena vyema kabisa,wasomi wetu si ndo hao kina Poropesa Lipumbavu umategemea niniHata hivyo tunahitaji kujifunza lugha nyingi. Lakini suala ni pale lugha ya kigeni inapotumika ktk kufundishia inazuia uelewa then anakuja msomi kuitetea nashindwa kumuelewa