James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,340
Mkuu nilipata nafasi ktk harakati zangu kujadili nguli mmoja wa social linguistics duniani hiyo kauli ya NyerereStepping aside from him, and centering on that "translator" idea.
Kuna watu nishagombana nao hapa kwa sababu nimewaambia kwamba hawawezi kubishana na mimi kwa sababu nimesoma kazi za Lord Bertrand Russell na wao wameishia kwenye kazi za Lord Jesus.
Kwa sababu hawajui Kiingereza!
Si kwa sababu Kiingereza ni usomi au kina upawa zaidi ya Kiswahili, hasha, nishasema hpo juu Kiingereza kama lugha ni dhalili ukikilinganisha na Kiswahili.
Lakini kimepata kuwa, kwa sababu moja au nyingine, kibiashara, kishistoria, kisiasa etc, kuwa kama alivyosema Nyerere, "Kiswahili cha dunia". Kuna mambo ambayo Kiswahili hata maneno yake hatuna, yameandikwa Kiswahili.
Unapotaka kumueleza mtu katika Kiswahili kwamba huna "multiverse" au "boson particle", utatumia maneno gani?
Sasa kwa mtu asiyejua Kiingereza, hata ukimtafsiria "Hegelian dialectic" kama televisehni ya Zanzibar enzi hizo kwa kusema "Mapinduzi Daima" (wangapi wanakumbuka hili?) utakuwa ushamvusha mto mkubwa wa kufikiri mambo yako bila mapinduzi.
"Kingereza ni Kiswahili cha dunia"
Aliniambia Nyerere in UK land while speaking that, and he could have said differently when in Africa.