Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

EVARIST CHAHALI, ALIWEKA BANDIKO KUWA 'KILA MTZ MWENYE MAPENZI MEMA, APGE KELELE KUHUSU YANAYOENDELEA' LAKN AKANIACHA HOI KUWA ALIMPGIA DEBE MAGUFULI KWA SABABU ZAKE BINAFSI... SASA MTU ANAYEMPGIA KAMPEN KIONGOZ KWA SABABU BINAFSI, ASIAMINIWE.. UZALENDO NI KULINDA MASLAHI YA TAIFA.. CHAHALI, ALISTAHILI KUTIMULIWA
 
Utabaki salama endapo utakuwa na kadi ya chama otherwise andika wosia kabla mwana wa adamu hajatuma watu wasiojulikana waje wanyanyuke na wewe...

Juma tatu naenda kuchukua kadi ya chama haya maisha sijayazoea walai ya kuviziana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…