GE2025 Kihongosi: Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia

GE2025 Kihongosi: Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
" Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia" amesema Kihongosi

Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba 5, 2025 katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu Dodoma ameeleza namna ambavyo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejikita katika kusukuma maendeleo akibainisha kupitia awamu tofauti za uongozi tangu awamu ya Hayati Mwalimu Julius Kambarahe Nyerere hadi sasa awamu ya Rais Samia kumekuwepo na Mabadiliko na maendeleo mengi

Aidha amewasisitiza Waandishi wa Habari kuendelea kueleimisha jamii ili vizazi viweze kujua kwamba maendeleo yaliyopo sasa yanahistoria kubwa kuwa kuna watu walipambana

 
Screenshot_20251005-175138.png
 
" Chama hiki kimejikita katika kusukuma ajenda za maendeleo, kwaiyo akitokea mtu akasema hakuna kilichofanyika unabaki unamuangalia" amesema Kihongosi

Katibu wa Itikadi, Uenezi, na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi akizungumza na waaandishi wa habari katika leo Oktoba 5, 2025 katika ukumbi wa White House CCM Makao Makuu Dodoma ameeleza namna ambavyo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimejikita katika kusukuma maendeleo akibainisha kupitia awamu tofauti za uongozi tangu awamu ya Hayati Mwalimu Julius Kambarahe Nyerere hadi sasa awamu ya Rais Samia kumekuwepo na Mabadiliko na maendeleo mengi

Aidha amewasisitiza Waandishi wa Habari kuendelea kueleimisha jamii ili vizazi viweze kujua kwamba maendeleo yaliyopo sasa yanahistoria kubwa kuwa kuna watu walipambana

Bora kuangalia cartoon kuliko huu upupu
 
Back
Top Bottom