Kihasibu: Simba kushiriki loosers cup 2025

Kihasibu: Simba kushiriki loosers cup 2025

Njoo mbagala makaburini ulizia bar ya mama Fatuma utanikuta
Daaah ....makaburini Tena ....wakati tuna furaha .....huko watatukuta makolo wakija kutambika[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akiwa Simba maana yake alikua anasema kwa niaba ya Simba, Muda huu Manara yupo CHOONI anacheka vibaya sana
Alisema kuwakandia Simba alipohamia Yanga. Yanga waliposhiriki kombe Hilo Hadi kufika fainali Simba walitumia Kauli hiyo hiyo. Muasisi WA 'Kombe la Loser' ni Manara.
 
Tafsiri ya Ubuntu botho Kwa dictionary ya makolo

1 picha ya kwanza ....makolo wakaja na jersey yao nyekundu tar 5.....wakala 5G[emoji23][emoji23]

picha ya 2wakakimbia kujificha .... ..

Picha ya 3 .....wakaja na jersey za mamelodi.....Baada ya mamelodi kula kichapo ila wakabebwa refa makolo ..... Wakala mbio

Itaendelea[emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 3002104
Homer Simpson katuni wa maana kabisa
 
Simba ni jumba bovu liacheni lianguke.
Kombe la Looser huwa lina wababe wake na wala sio Simba.
Ni imani yangu Makolo wataondolewa kwenye makundi tu shirikisho , tusiwape ukubwa wasiokuwa nao, kufika fainali kunataka msuli ambao simba hawana kwasasa!
 
Hahaha waliliita Kombe la Looser? Sasa wakacheze na ma-looser wenzao kombe la Shirikisho wenzao wanaenda Kilabu Bingwa
Unajifariji tu, sisi ndiyo Simba SC na tuko nafasi ya 7 kiviwango timu bora Africa.

Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Simba ni jumba bovu liacheni lianguke.
Kombe la Looser huwa lina wababe wake na wala sio Simba.
Ni imani yangu Makolo wataondolewa kwenye makundi tu shirikisho , tusiwape ukubwa wasiokuwa nao, kufika fainali kunataka msuli ambao simba hawana kwasasa!
Kule hawafiki kokote
 
Back
Top Bottom