kwani wewe ulitakaje?Wao wamepata
Ndugu Mkendo, nina miaka zaidi ya nane hapa JF lakini sina idadi ya post ulizonazo wewe wa 'juzi'; it says a lot kuhusu tofauti yangu na yako; nachoandika nakifahamu sina chembe ya ushabiki katika hili.Na hii ni ID yako nyingine.
Hamisi Kigwangalla
Ndg. Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka.
Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya
MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo.
Hivyo, kama kigezo kilikuwa ni hii Historia, pole kwa CHADEMA.
So point yako kubwa hapo hicho kipengele kwenye CV yake kitoke ..muda mwingine tumpime mtu kwa ufanisi wake wa kazi tukianza kuangalia CV hatujengiWale wale wakina nani? tuache mihemuko na tuchangie kama watu wazima. katazame tena wasifu wake ulivyoandikwa, Mmed ni miaka mitatu hakumaliza. Niesema hapo juu, sababu za kutomaliza hazimuondolei sifa yeyote kwa kuwa hakushindwa (kufeli) kumaliza...
Dah kumbe ulimboka angekufa bure na muasisi wa migomo ni kigwangala waziri wa magufuliHamisi Kigwangalla
Ndg. Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka.
Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya
MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo.
Hivyo, kama kigezo kilikuwa ni hii Historia, pole kwa CHADEMA.
we kigwangwala acha siasa, piga kazi..au umesahau kuwa HAPA KAZI TUHamisi Kigwangalla
Ndg. Dkt. Mashinji is a friend, brother and colleague. Hakuwahi kutuokoa mimi na Dkt. Ulimboka na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na mimi na Dkt. Ulimboka.
Kiukweli, ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri (tumesoma naye MBA chuo kimoja), sina hakika kama alimaliza masomo ya Ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiunga masomo ya
MBA, na sina hakika sana kuhusu 'msimamo usiotetereka'. Maana baada ya vitisho vya 2005, aliyumba sana na tulimtenga na ku-aVoiD kumualika vikao vya CC ya mgomo.
Hivyo, kama kigezo kilikuwa ni hii Historia, pole kwa CHADEMA.
si jana tu alikuwa anasema huyu katibu wa chadema ni kiongozi wa maandamanoDk. Kigwangala amekiri wazi na kutoa pongezi wazi kwa CHADEMA kwa kumchagua katibu wao mkuu Dk. Mashinji, kupitia account kadhaa za Kingwangalla anakiri wazi kuwa Dkt. Mashinji ni msomi mzuri na mwanasiasa mzuri ingawa anadai hana uhakika kama alimaliza masomo ya ubingwa maana alinyanyaswa na Supervisor wake, akasusa akaamua kujiiunga masomo ya MBA ambapo walisoma nae chuo kimoja.
Pia Dk. Kigwangalla amesema kuwa Dk.Mashinji hana kashifa yoyote kuhusiana na mgomo wa madaktari na hakuwahi kuongoza mgomo, sema alishiriki mgomo ulioongozwa na Dkt. Ulimboka na hana mashitaka sehemu yoyote. Kwa kutoa msisitizo wa kumkubali Mashinji azidi kutoa sifa kwa CHADEMA kuwa kiukweli Dk. Mashinji ni mwanasiasa mzuri, msemaji, msomi mzuri atawafikisha mbali sana.