Nakubaliana 100% na approach ya Mbunge hapa, Bashe sio individual ni institution, ameamua kwa nguvu zote na anapewa support ya kuifanya Nzega isitawalike, hivi ni nani anampa kibali cha kuingia jimboni na kufanya anti development campaigns na anaachiwa? Nakubali pia strategy ya mbunge ya kupambana nae jino kwa jino, ikiwemo ya kumuita msomali maana si tusi, kwa nini aonee aibu asili yake, watanzania tuache kutumiwa kubeba watu wafanye yao waondoke, hatuwezi kusoga mbele pasipo kuzungumzia 'uzawa na uzalendo. Bashe hataki uongozi anataka madaraka. Ni kweli pia ya kwamba hana uwezo wa kufanya lolote focus yake yote iko kwenye kupata ubunge kwa garama yoyote. Pia nakubali kwamba huyu bwana kama lilivyokundi lake hawana uwezo wa kupata kura kihalali, na la mwisho badala ya matusi Bashe aonyeshe hapa JF mafanikio yake 'visible indicators' sio hadithi za kutuambia atamlipa Dani Mwakiteleko msharaha yake kwa miaka mitano, huku akijua kabisa kwamba hakuna sheria inayoruhusu kulipa marehemu, labda uwe na bima ya maisha ambayo anafahamu kuwa wafanyakazi wote wa kampuni anayoingoza hawana bima yoyote, wala hawako kwenye mfuko wowote, nataka kumuuliza hapa je tangu Dani afariki ameshailipa familia yake mishahara mingapi? hebu angalia pale habari wanavyokufa njaa, wachovu kabisa kabisa kuliko kampuni yoyote, wachafu, familia zao zimalala yeye eti kaongeza jengo, akae nani? Nasikia Mwananchi alifukuzwa kwa kutaka kumpiga Sholei kisa anafuatiliwa afanye kazi, hana uwezo hao ndio viongozi wa mapinduzi ndani ya CCM. Mimi nakubaliana na yoyote yule anayeleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi, haijalishi mbunge kama anatumia kampuni yake ama la, sasa walitaka atumie ya nani? RLDC ni NGO inayoheshimika, Bashe waache wana Nzega wabadilishe maisha, hakuna atakayekubali kurudia ya Igunga, eti jimbo miaka 18 ni squarters , watu wanaishi kama wako stone age, walichofanikiwa ni kumtajirisha mbunge wao Rostam ambaye nae tukimuita mu Iran mtasema anatukanwa, eti nae anadai mnyamwezi wakati hata kibanda miaka yote hiyo hapo igunga hana. Go go Mbunge pigana kufa na kupona pamoja ya kwamba na wewe pia hukujibu hoja ya kutumia jina la mwenzako na kuiba nafasi yake ya shule, hayo madudu ya Bashe na familia yake pia nakushauri uyamwage kabisa mapema usituletee ya mwakyembe kusema eti alikua anai protect serikali, against who? leo hii hatutaki kusikia kisa tu kwa sababu yamemrudia yeye, kwa kunyamaza ni sawa na kuwaua watanzania mamilioni ama kuwapa hawa wote huo upupu wa ngozi, viongozi acheni ubinafsi kumbuka tanzania inaelekea Libya kwa saba usalama wako ni namna gani unatumiwa kufanyia watu wa mungu ushenzi