johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Wakazi wa Kigoma na Tabora wakkongozwa na Wakuu wa mikoa yao mh Andengenye na Dr Batilda wameishukuru TRC kwa kuwaletea Mabehewa ya kisasa
Wakazi wa Kigoma wameahidi kufanya Sherehe kubwa sana ya ukombozi wa usafiri walioupata
Source TBC
Wakazi wa Kigoma wameahidi kufanya Sherehe kubwa sana ya ukombozi wa usafiri walioupata
Source TBC