Masalu Jacob JF-Expert Member Joined Jul 26, 2017 Posts 1,342 Reaction score 1,505 Nov 17, 2025 #1 Habari Tanzania ! Unajua Mkoa wa Kigoma ni eneo linalopendwa sana hapa nchini licha ya kuwa na maendeleo vidocho ila unapendwa sana na hata watu wake ni wema sana. Ila sasa Kigoma muache kudeka deka inatakiwa muwe mnajiongeza. Nawapenda Kigoma. Bye.
Habari Tanzania ! Unajua Mkoa wa Kigoma ni eneo linalopendwa sana hapa nchini licha ya kuwa na maendeleo vidocho ila unapendwa sana na hata watu wake ni wema sana. Ila sasa Kigoma muache kudeka deka inatakiwa muwe mnajiongeza. Nawapenda Kigoma. Bye.
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,580 Reaction score 13,048 Nov 17, 2025 #2 Ndio wapi huko wanapotoka wauza vyombo mjini.