Kigoma mmeshangaza Sana

Kigoma mmeshangaza Sana

Akina Kafulila walikuw kama Yatima Mwnykt wao Alikuwa bize kumdalalia Kura Fisadi, Gwajima alipozozana na Dr.Slaa kuhusu ujio wa Fisadi haya yalikuwa mambo ya ndani ya Chama cha kushangaza alietumwa kusema Kamati kuu ya Chadema ilifuata kanuni alikuwa Mliberali Mbatia badala ya viongoz wa Chadema, Kafulila kabanwa mbavu kigoma hana msaada anampigia simu Mwnykt wake wa Taifa anamjibu eti komaa mpaka kieleweke yeye yupo bize na Nduli haramia na mpishi wa matokeo feki kwa njia ya mtandao
Hukujibu hoja Bali umejibu lililokuwa limekubana
 
Labda sasa Kigoma itakuwa kama Dubai

Nakuomba mdau siku moja uvunje kabati ukatembelee angalao jimbo moja la kilimanjaro vunjo hili lilikuwepo chini ya upinzani toka enzi hizo za miaka ya 95 na kuna kipindi cha miaka mitano hapo nyuma alikaa ndg Kimario ccm kwa muhula mmoja na wakumtupa kule toka siku hiyo hawakurudia tena makosa nenda tu kajionee kwa macho ukirudi hapa uje utoe mrejesho nyimwa vyote lakini sio akili na maarifa.
 
Kigoma tunajielewa sisi sio mapoyoyo, tuliwatuma watuleteee Maendeleo na sio kupiga kelele ambazo hazina kichwa wala miguuu wala escro. acha wajifunze kwanza c unaona anayeleta Maendeleo anerudi

Mbona unajipendekeza,we tunakujua ni mburundi,kigoma sio kwenu,usitusemee sisi wana kigoma.mwaakeyee
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.

Mwanasiasa kama machali ni sawa kabisa kutorudi bungeni sababu hakuna alichokifanya hapa jimboni kwake,alikuwa hakubaliki hata kidogo na kauli zake zilikuwa chafu sana kwa wapiga kura wake,isipoikuwa alipokuja zitto ndio kidogo watu wakanza kumsikiliza majukwaani eti zitto alimuombea msamaha kwamba wamchague then yeye atamsimamia kuleta maendeleo hapa kwake. In short machali ni kiburi na anaroho mbaya sana just imagine mdogo wake wakuzaliwa naye ni bodaboda hapa kasulu,hii kweli imekaa sawa jamani?
 
Binafsi KAFULILA kaniuma sana tatizo ni ELIMU YA URAIA watu hawajui majukumu ya mbunge kwa taifa lake na kwajimbo pia Kafulila kawapigania sana watu wake na taifa kwaujumla hadi akahatarisha maisha yake kwaajili ya Uzalendo wake na uadilifu imagine angetaka kupiga za ESCROW angechukua ngapi!!leo anaonekana hana maana huyu kafanya mambo mazito kwahili Taifa lazima tumpe heshima yake mie huyu namweka kwenye kundi moja na Filikunjombe na ningekuwa na uwezo ningewaomba wabunge wote wapiganaji wanaolipagania TAIFA wote wapumzike kwa miaka mi5 labda tungepata chakujifunza coz uwepo wao unaonekana hauna maana kwa walio wengi.
 
Kwa ufupi watu wa Kigoma kuwaelewa ni shidaaaa kuanzia vimbwanga vya Kabourow Nsonzigwako na mwenzao Zitto.
Kwa sababu pamoja na majigambo ya Zitto kuwa anayetaka ubunge mkoani Kigoma lazima ajiunge ACT nashangaa nchi nzima ACT imepata mbunge mmoja ambaye ni yeye mwenyewe,hapo unaweza kukubaliana na Kafulira kuwa kilichohitajiwa pale sio kuanzisha chama.
 
Kigoma maskini sawa wakawachagua kina kafulila wakawaahidi kuondoa umaskini lakini wameshindwa sasa mna taka waendelele na walioshindwa ili wazidi kurudi nyuma sio nyie mnamuona Wa mana kisa escrow sasa jiulize imewasaidia nini jimboni kwake wako wazawa atoke tu waje wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom