Kigoma mmeshangaza Sana

Kigoma mmeshangaza Sana

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.
 
Mkoa usiokua na maendeleo Tanzania hii.
Wacha waendelee kuisoma namba.
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.

msiwalaumu watu wa kigoma bure, mabox nadhani mliayaona yakisafirishwa kwenda wilayani. Mtu kama Kafulila asingerudi maana yeye ndo amezalisha Escrow
 
Wajomba zangu kigoma wameniangusha sana. Lkn ninavyowajua hawa wajomba, kutakuwa na kitu beyond their ability
 
Hawa jamaa hawatakiani maendeleo mfano mnamsifia Anna Mghwira kumbe mnamchonganisha na ZZK subir baada muda kitambo!
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.


kigoma hakuna tz wataona wapi
 
Kigoma tunajielewa sisi sio mapoyoyo, tuliwatuma watuleteee Maendeleo na sio kupiga kelele ambazo hazina kichwa wala miguuu wala escro. acha wajifunze kwanza c unaona anayeleta Maendeleo anerudi
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.
kosa lao ni kupambana na ufisadi,watanzania kamwe hatutadhamini pambano la ufisadi.saka fedha kwa njia yoyote uje utuwezeshe wakati wa uchaguzi utapita kwa kishindo .UKAWA msipoteze muda tena ukipata deal piga wanangu
 
kilichomuangusha Kafulila ni kitendo cha kutoa Lugha za dharau kwa watu wa Kigoma kama vile kuwaambia kuwa fani yao ni kulima michikichi na kuanzisha vyama vya mawese lakin si kuanzisha Chama, akiwa na maana ya ACT wazalendo. lakini pia mwaka huu pesa imetumika mnoo na ilikuwa na nguvu sana kuliko maneno matupu kwa huku Kigoma pengine kuliko hata mikoa mingine (sijui kwa nini), ndio maana wameangushwa watu ambao hata hawakutarajiwa huku wakipita wagombea ambao hawana uwezo kiuongozi. Machali aliharibiwa na Skendo ya kumpiga baba yake pamoja na kuwatukana baadhi ya watu hasa wanapomfikia na kujaribu kumweleza changamoto wanazokumbana nazo katika harakati za kujitafutia maendeleo mfano bodaboda.
 
kosa lao ni kupambana na ufisadi,watanzania kamwe hatutadhamini pambano la ufisadi.saka fedha kwa njia yoyote uje utuwezeshe wakati wa uchaguzi utapita kwa kishindo .UKAWA msipoteze muda tena ukipata deal piga wanangu

Ukombozi unakuja
 
Huo ni mpango mkakati wa wezi wa escrow na aliyatola kuwaondoa.
 
hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni nswazugwako wa ccm na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina mkosamali,kafulila david na machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? Kweli hamkuona changamoto zao bungeni? Kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.i.p mh deo filikunjombe na pole sana mh wenje kwa lililotokea mwanza.

walitumia nafasi zao kujitangaza kuliko kuwaletea maendeleo waliomtuma bravo wa kigoma
 
Watoto wapiga kelele acha wakue na mlaumu mwenyekiti wao aliyeamua kuwa mpambe wa Lowasa na kutelekeza chama kupiga pesa zake. Watu wakigoma hawanaga longolongo ukizingua unakalia, ukitaka sifa mbali utaenda huko wakuchague wao wanataka mbunge atakaye watumikia wao.

Sasa mwambieni mbowe awachague viti maluum, Hapa kazi tu!

Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom