Kigoma Mjini pagumu , wanamwita Tigo

Kigoma Mjini pagumu , wanamwita Tigo

Status
Not open for further replies.

Bhutimbaru

Member
Joined
Jun 22, 2015
Posts
15
Reaction score
11
Sijui kama kiongozi mkuu wa ACT anajua jina hili , ila kwa kuwa ana tabia za kuchochea na kukaa mbali anao wacha nyuma watakuwa wamesha mweleza.

Hapa kigoma sisi hatumwita msaliti hapana . Hapa anaitwa TIGO maana ni mtandao ambao hauna uhakika unakuja na kupotea muda wowote.
Kwa maamuzi ya ndugu Zitto kuja kugombea Kigoma mjini ajiandae kuja na debe la mafanikio kwanza tokea jimboni kwake.

Pia aje atueleze anamtumia nani na naomba akifika hapa rasmi aache lugha za ukanda, enye harufu ya udini. Aje atueleze kwa nini amemua kuja kugombea Kigoma mjini na atuonyeshr tofauti alioyo peleka jimboni kwake .

Tuna maswali mengi mno pamoja na kwa nini kabadili kauli ya

1.Sitagombea tena ubunge nitafanya mambo mengine

2.Nitakuwa wa mwisho kutoka CHADEMA, lakini anakwenda mahakani akitafuta namna ya kuondoka CHADEMA

3.Kwa nini akiamua kutengeneza Chama ndani ya Chama

4.Kwa nini anasema alifukuzwa Chadema wakati alijiandaa kuondoka a) kwa kuunda Chama b) Kwa kwenda mahakamani .

Mengine tutamuuliza hapo hapo wakati ukifika .
 
Kumekucha Kigoma.Kuweni na huruma basi,walau mkumbuke Lekadutigite
 
Hata hivi anasumbua tayari, mwanamume muongo, mfitini na kigeugeu ni usumbufu kwenye jamii hasa ile inayokuamini.
If he manages to pass through this, I am sure jamaa atakuwa mtu muhimu sana katika siasa za nchi hii.
 
Ndiyo hapa Kigoma anaitwa TIGO sbabu ya uongo wake na unafiki .Kijana haishi anayo yaongea.Jukwaani anasema hili akishuka anafanya madudu ni muda tu tutayaweka yote hapa tunamvutia upepo .

Tigo si jina la Polisi wa Boda boda, hapo mmepatia maana polisi wa bodaboda mara wajifanye Trafiki, Mara wajifanye TRA alafu polisi wa kawaida. Kazi yao kukusanya fedha kumpa aliyewapa pikipiki za wawindio.
 
Utamuuliza wapi? huko haji anaenda Mtwara kugombea ubunge!
 
Anasubiri kumkaribisha EL ktk chama akishamwagwa rasmi sisiem. ZZK anasubiri kupata kick kutoka kwa jamaa yake huyo
 
If he manages to pass through this, I am sure jamaa atakuwa mtu muhimu sana katika siasa za nchi hii.
Ngoja nikuambie kitu, kama wananchi wa nchi hii watafanikiwa kuiondoa madarakani CCM au kuidhoofisha ikakosa majority vote ndani ya Bunge basi siasa za nchi hii zitabadilika sana na hizi siasa za ulaghai laghai wa mtu mmoja mmoja ndio zitakoma kabisa. Mifano ipo nchi nyingi tuu ambazo vyama vya ukombozi viliondolewa madarakani.
Nenda tuu hapo Kenya, huwezi kukuta mtu anafanya ulaghai kwa maelfu ya watu as Individual hata kidogo.
 
Kwa Zitto nyota imeishang'ara hamtaweza kuizima, mtu mmoja anapambana na chama kizima na amewashinda
 
siasa si ngoma uweke segere kwa miezi miwili mitatu ua-introduce chama -utahitaji 5 years kukijenga kama uko smart kama sio 20 yrs kumbuka wananchi wanabadilika kutoka kwa wananchi wajinga hadi werevu hivyo chama tawala kinabadilika na wapinzani wanabadilika . nI SUALA LA MUDA SI NDOTO
 
Mna hangaika sana ndugu zangu lakini mjue zitto amewashika pabaya sana.inawezekana ukawa hauujui kigoma,rudi kawaambie waliokutuma kuwa kigoma hususani ujiji ni watu hatari sana,tulimezea kwa kaburu kwa sababu alifanya ujinga kurudi ccm but sio kwa zitto kwa taarifa yako,zitto ni kigoma na kigoma ni zitto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom