Ngoja nikuambie kitu, kama wananchi wa nchi hii watafanikiwa kuiondoa madarakani CCM au kuidhoofisha ikakosa majority vote ndani ya Bunge basi siasa za nchi hii zitabadilika sana na hizi siasa za ulaghai laghai wa mtu mmoja mmoja ndio zitakoma kabisa. Mifano ipo nchi nyingi tuu ambazo vyama vya ukombozi viliondolewa madarakani.
Nenda tuu hapo Kenya, huwezi kukuta mtu anafanya ulaghai kwa maelfu ya watu as Individual hata kidogo.
Mna hangaika sana ndugu zangu lakini mjue zitto amewashika pabaya sana.inawezekana ukawa hauujui kigoma,rudi kawaambie waliokutuma kuwa kigoma hususani ujiji ni watu hatari sana,tulimezea kwa kaburu kwa sababu alifanya ujinga kurudi ccm but sio kwa zitto kwa taarifa yako,zitto ni kigoma na kigoma ni zitto.
Moja hakuna uwezekano wa mwaka huu CCM kushindwa urais wala kukosa majority bungeni, hii option haipo.
Cha pili hakuna nchi Afrika ambayo baada ya chama tawala kutolewa madarakani eti siasa za ubabaishaji ziliisha, sehemu nyingi n mabadiliko hayo yalipotokea ndio kwanza walioingia walioingia walikuja kwa kasi mpya ya kula/ulaghai.
Cha tatu, mie ni mfuatiliaji mzuri sana wa siasa za Kenya, ebu fafanua unamaanisha nin hapa kuwa siasa za ulaghai zimekwisha kenya?
Mbaya zaidi the man is still going strongHuku kwetu mtandao wa tigo ndio wa uhakika zaidi.
Ila jamani Zitto anawaumiza vichwa.
Umeniwahi mkuu nilitaka kusema hii kitu,If he manages to rise from this Dark chapter stronger definetely atakuwa ni mfano wa kuigwa.He is fighting too many wars.Nnaungana na wewe ndugu.
Pia atakuwa mfano mzuri wa mafanikio maana wengi tunamuona anayoyapitia. It is really tough.