LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
mkuu wa jeshi la polisi nchi Ernest mangu amemshusha cheo mkuu wa kituo cha polisi Himo (ocs) mrakibu msaidizi wa polisi (ASP) zuhura suleman kwa kukamatwa na gari la wizi aina ya toyota rv4 lililoibiwa pia amehamishwa kituo kwa ajili ya kusubiri taratibu zingine toka mamlaka ya juu.
pia jeshi la polisi limemfukuza kazi moja kwa moja koplo federika shimila kwa kukamatwa na magari mawili ya wizi yaliyoibiwa dar esaalam jeshi hilo limedai kuwa watuhumiwa hao amekatwa baada ya kunasa mtandao wa majambazi dar na kuwataja kuwa askari hao nao pia wanashirikiana nao.
Chanzo. Mwananchi
======
Mwendelezo wa habari hii, unajadiliwa hapa JamiiForums kwenye hii thread=>Moshi: Vigogo wa Jeshi la Polisi wakamatwa na magari 3 ya wizi Himo
pia jeshi la polisi limemfukuza kazi moja kwa moja koplo federika shimila kwa kukamatwa na magari mawili ya wizi yaliyoibiwa dar esaalam jeshi hilo limedai kuwa watuhumiwa hao amekatwa baada ya kunasa mtandao wa majambazi dar na kuwataja kuwa askari hao nao pia wanashirikiana nao.
Chanzo. Mwananchi
======
Mwendelezo wa habari hii, unajadiliwa hapa JamiiForums kwenye hii thread=>Moshi: Vigogo wa Jeshi la Polisi wakamatwa na magari 3 ya wizi Himo