Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 383
Ofisi ya Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai(RCO) mkoa wa Kilimanjaro,inadaiwa kumlinda Kigogo mmoja wa benki ya CRDB tawi la Moshi(jina kapuni kwa sasa)anayedaiwa kumiliki magari ya wizi.
Namba za magari hayo,yalipoibwa,gereji walipobadilishia rangi na waliponunulia nyaraka ili kughushi umiliki wake naleta hapa hivi punde
Stay Tuned
Namba za magari hayo,yalipoibwa,gereji walipobadilishia rangi na waliponunulia nyaraka ili kughushi umiliki wake naleta hapa hivi punde
Stay Tuned