Kigoda cha mwalimu live ITV

Kigoda cha mwalimu live ITV

Prof.PALAMAGAMBA KABUDI,simuoni hapa ukumbini maana ni gwiji wa sheria ila amekuja na rasimu yenye viraka makumi kwa mamia.
Itabidi azichukue hizi hoja azipeleke kwa WARIOBA

Hata mimi nashangaa mkuu, Prof. Paramagamba Kabudi sijui ni nini kilimsibu. Au ndo hiki Prof. Shivji anasema walikuwa wanatafuta Compromise badala ya Consensus!
 
kwa maelezo haya ya shivji binafsi naona muundo wa serikali 3 si mbaya ila unahitaji umakini wa hali ya juu na marekibisho makubwa kuahinisha mipaka,vyombo vya usalama vya tanganyika,zanzibar na shirikisho,vyanzo vya mapato vya serikal ya shirikisho, protocal za viongoz wote wa tanganyika,zanzibar na shirikisho japo c muhimu ila kwa rasimu hii ni wazi kua kutakua na kutunishiana misuli na kujitutumua kusikokua na tija kwa viongoz wetu.

mzee warioba na timu yako kwa hili la serikali tatu nadiriki kusema haukujipanga ulikurupuka,ni vyema ukajipanga upya kwenye draft 2 ya katiba.

ila tukiliacha hili likapita ni wazi kutakua na mgongano mkubwa ambayo itapelekea migogoro isiyokua na tija.
 
Huyu Mzee anaongea point Nzuri sana, anatufungua fikra zetu kuhusu rasimu ya katiba.

Hakika Rucci siku hii ya leo ni siku muhimu sana Pro amenifungua sana hasa kuhusu muundo wa Serikali ya Shirikisho du,am so interesting hasa Political equality,wakati tupo kwenye Economic unequality hatuwezi fika huko tunapo pataka ndugu zangu wakati namsikiliza Jaji Waryoba alisema kuwa viongozi wengi wanazumgumzia kupata madaraka.
 
prof amefunguka sana na nadhani alichokiongea leo kimejenga msingi mkubwa sana wa tafakari ya muundo wa serikali tatu na manufaa yake kwa watanzania wa hali ya chini.
 
kwa kweli shivji jembe anadai hamna serikali mbili iliokuepo bali serikali mbili na nusu
 
prof amefunguka sana na nadhani alichokiongea leo kimejenga msingi mkubwa sana wa tafakari ya muundo wa serikali tatu na manufaa yake kwa watanzania wa hali ya chini.

Mkuu safi sana, endeleeni kutuhabarisha. Wengine hatuna access na itv wala radio 1. Lakini ni wazi kufufua serikali ya Tanganyika ni kuua muungano. Wazanzibari wengi wanashangilia serikali 3 wanajua fika muungano utakufa. Aksante.
 
kwa maelezo haya ya shivji binafsi naona muundo wa serikali 3 si mbaya ila unahitaji umakini wa hali ya juu na marekibisho makubwa kuahinisha mipaka,vyombo vya usalama vya tanganyika,zanzibar na shirikisho,vyanzo vya mapato vya serikal ya shirikisho, protocal za viongoz wote wa tanganyika,zanzibar na shirikisho japo c muhimu ila kwa rasimu hii ni wazi kua kutakua na kutunishiana misuli na kujitutumua kusikokua na tija kwa viongoz wetu.

mzee warioba na timu yako kwa hili la serikali tatu nadiriki kusema haukujipanga ulikurupuka,ni vyema ukajipanga upya kwenye draft 2 ya katiba.

ila tukiliacha hili likapita ni wazi kutakua na mgongano mkubwa ambayo itapelekea migogoro isiyokua na tija.

Ni kweli mkuu, na Prof. Katoa maelezo mazuri sana, na kasema kabisa, na huu ndo ukweli, Rais wa Muungano/Shirikisho, hatakuwa na sauti yoyote kwa Rais wa Washirika, tena sana sana Rais wa Bara. \

Na pia akasema, ikitokea vyama 3 vikatoa Marais (Mathalani, Rais wa Muungano CCM, Rais wa Tanganyika CDM ,na Rais wa Zanzibar CUF), basi hapo ni mkanganyiko, na ndo vurugu zitaanza!
 
Duh, mkuu vp tena, mbona unaturudisha nyuma kwenye mada zilizopita humu JF??? Nini kusudi lako ndugu??
Ni connection ya hii mada mkuu kwani ww huoni ni Akina nani walioandaa, walio high table na mengineyo?
 
kwa maelezo haya ya shivji binafsi naona muundo wa serikali 3 si mbaya ila unahitaji umakini wa hali ya juu na marekibisho makubwa kuahinisha mipaka,vyombo vya usalama vya tanganyika,zanzibar na shirikisho,vyanzo vya mapato vya serikal ya shirikisho, protocal za viongoz wote wa tanganyika,zanzibar na shirikisho japo c muhimu ila kwa rasimu hii ni wazi kua kutakua na kutunishiana misuli na kujitutumua kusikokua na tija kwa viongoz wetu. Mzee warioba na timu yako kwa hili la serikali tatu nadiriki kusema haukujipanga ulikurupuka,ni vyema ukajipanga upya kwenye draft 2 ya katiba. Ila tukiliacha hili likapita ni wazi kutakua na mgongano mkubwa ambayo itapelekea migogoro isiyokua na tija.
mimi binafsi naona tatizo siyo kuwa na serkali ya zanzibar inayojiamulia mambo tatizo lililopo ni kuanzisha mjadala wa serkali ya tanganyika. Shivji ana kigugumizi gani juu ya uwepo wa serkali ya zanzibar. Je nongwa ni kuifufua serkali ya tanganyika ilikufa mwaka 1964 au ni nini? Hakuna hekima iwezayo kuzima pungufu wa uwepo wa serkali mbili unaopuuza kuwepo kwa serkali ya tanganyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom