Asee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakin wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato. Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakin hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure. Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake. Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafs yangu??
tofauti gani ipo kati ya msabato na mkatoliki....?
Makubwa haya, atoke ukristo aingie ukristo? naona ni kama kuruka ... kukanyaga...
Halafu mkatoliki, ni Insha Allah.
mambo ya cosmopolitant hayo hujasikia na mtoto wa kiislamu akifanyiwa kipaimara ...Makubwa haya, atoke ukristo aingie ukristo? naona ni kama kuruka ... kukanyaga...
Halafu mkatoliki, ni Insha Allah.
mambo ya cosmopolitant hayo hujasikia na mtoto wa kiislamu akifanyiwa kipaimara ...
tofauti gani ipo kati ya msabato na mkatoliki....?
Aisee mimi bwana nina mpenzi wangu ambaye tunampango inshaallah miaka miwili ijayo tuoane.
Sasa nimejaribu kuleta hili swala kwa wazazi wangu japo sikuwa rasmi lakini wanaonekana kama hawajapenda na mipango yangu ya kuoa msichana mkatoliki wakati mimi ni sabato.
Msichana wangu hana tatizo juu kubadili dini lakini hata hivyo bado wazazi kama wanataka msabato pure.
Isitoshe huyo msabato sijampata bado ila huyu binti namjua vizuri mpaka wazazi wake.
Napata wakati mgumu na hili swala kwamba niwafurahishe wazazi au nafasi yangu?
Hamia katoliki funga ndoa achana na wazazi vilaza. Yesu ni yuleyule.