tumsifukisiki
Member
- Dec 1, 2016
- 38
- 34
BORA TUU KAKA EBU MAFUNDI WAKAE VIZURI URUDI UBADILISHE UPEPO WA DAUDI BASHITE
Kwahyo umeona raha mwenyewe...Eeh kwani vepee? Ulikua unatishia kujamba wakati unaarisha? Tulikua tunajua jeuri hiyo huna, maana huko bungeni wamejazana kama kumbi kumbi, naona wame ku steve nyerere na wewe ,unataka kumuiga makonda,mwenzio kaaga yule shauri zako![]()
Exactly kuna vitu vya msingi sana vya ku deal navyo Tanzania tuna matatzo makubwa sana hususani upande wa afya kwanini asijikite kutatua chanjo mahospitalini hakuna!! Poor TzHehehe ati sababu za kiufundi, yeye alikua kachukua uamuzi wa kufanya jambo la kijinga sana. Dr mzima anakaa anaumiza kichwa na elimu yake yote, anaishia kuamua ngoja akataje mashoga kwenye press conference. Hehehe! hadi naona aibu aisee, watanzania tumekuaje?
Kutangaza mashoga ili iweje sasa? wao nao ni watu wanatakiwa wahakikishiwe usalama wao, kuwataja wakitafutwa na extremists itakuaje? Kama kuna sheria ya kudeal na mashoga then wafuatwe kimya kimya wawajibishwe. Kuuza sura kwenye TV kwa hawa wanasiasa kunakera wamekua ka watoto wa chekechea wanalilia uji.
Amini nakwambia vita dhidi ya ushoga ni ngumu kuliko ile ya madawa ya kulevyaAnaogopa maana na yeye anatumia vyeti feki
Nikusahihishe?"kwenye kampeni mliahidi kulinda miknd ya wanaume"?
Mange kimambi
Hakuna haja kwa sababu sijakoseaNikusahihishe?
pekua utaona post yake na jina la MTU mwenyeweOhoooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]