Akipata walau asilimia 10 ya kura huko, atakuwa amepambana sana
CCM wanataka kujiwekea rekodi ya ushindi wa asilimia 90 kwenye Kila majimbo ya Uchaguzi
Ndiyo maana tayari kuna majimbo CCM wanasubiri kura za Ndiyo/Hapana tu ili kushinda majimbo yao
Anyways, Kila la heri kwake 🙌