Kifo sio mchezo.tiririka na hii

Kifo sio mchezo.tiririka na hii

Joined
Mar 16, 2013
Posts
31
Reaction score
4
Majambazi wali vamia familia 1.baada kukosa hela wakataka kuua m2 na mke.jambaz aka muuliza mwana mke, jina lako nani?.Mke aka jibu eliza, jambaz akasema nime kusamee kukuua kwani hata mama yangu ana itwa eliziza.jambazi lika mfuata mume,haya na ww unaitwa nani,Mume akajibu kwa upole sana mie naitwa john ila kazini huwa wananiitaga eliza.
 
Hhahaha kweli kifo. Noma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom