Kifo noma

Kifo noma

myfun

Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Familia ilivamiwa na majambazi yakapanga kuwaua wote lakini kabala ya kuwaua. Yakawauliza maswali. JAMBAZI:wewe unaitwa nani. MKE:Elizabeth. JAMBAZI:umesalimika maana jina lako ni kama la mama yangu eeeh na wewe unaitwa nani. MUME:Naitwa John lakini kazini wananiitaja Elizabeth pia
 
Back
Top Bottom